Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

 

Matumbo ana nn kwwnye huu mtandao? Nna hamu nimjue ni nani
 
Last edited by a moderator:
hua sina time na maisha ya watu.... ka ni kibaka au sio kibaka wacha polisi wafanye kazi yao
 
Mkuu umeniacha mdomo wazi kwenye vitengo hapo,hasa kitengo cha media nahisi ndio kinachopotosha ukweli hapa JF kwa propaganda za kipuuzi.!!!
 
 

maelezo yako yameside upande wa Flora.
 
bnadamu kazi kwelikweli lakini katika hizo plan zote naona hawakuona mbali..... aisee yani ndo wameharibu tu at least wangempa huyo mr.mbasha hela afunge mdomo
 
Hii strory ipo sawa kabisa na mimi nlivo ipata kutoka kwenye chanzo husika na gwajima kabisa. Hawa watumishi wa mungu wa sikuhizi hawa? Mie mkewangu nkisha muona anajiunga na makanisa kama haya ya hawa matapeli bora adai talaka kwanza mimi ni mlutheri na ntafia huko na familia yanngu yote
 
MCHUNGUZI HURU umenikwaza ujue ntakufata mpaka kazini kwako yan nlivyo n mcheche hapa i wish The bold angekuja kutoa neno hata tujue ka mzima.
 
Last edited by a moderator:
Mtawatambua kwa matendo yao na miujiza yao ya kitapeli.
 
asante kwa kuileta huku heshima kwake The bold
kule moda wamefunga
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…