kama mimi tu...... tumeshtuka mwishoni
Huyu Mbasha naona kama wamembambikia kesi tu, haiwezekani mtu ambake msichana ijumaa halafu sijui kesho yake akarudia tena halafu akambaka tena kwenye gari? binti unaishinae unaweza kwenda kumbaka kwenye gari? Kwenye gari aliingiaje wakati anajua shemeji yake ni mbakaji? mimi naona huyo binti katoa mzigo yeye mwenyewe wala hajabakwa. Hii ni muvi script yake ni ideas kama za producer Kova.[/QUOTE
apo sasa.hii kesi ni tamu sana....yani kabakwa na kusababishiwa maumivu makali..akamweleza nani?kwa nn hakutoa taarifa ubakaj wa mwanzo akayatoa baada ya kubakwa tena?
The bold hatujui nini kumempata na jana alikuwa anasema anatishiwa sana baada ya kuweka
zile habari za mzee wa hummer...., na mmoja wapo wa watoa vitisho ni matumbo eti alikwambia
hafiiki keshokutwa kwa hizo habari anazozitoa..... so hatujui usalama wake uko vipi
Jamaa yupo maana last activity naona yupo baada ya muda si mrefu...kazi haziendi hapa............ nashika mafile kidogo the huyo nazama ndani
nikimuona The bold ndio roho yangu itatulia sa hivi hapana
Huyu Mbasha naona kama wamembambikia kesi tu, haiwezekani mtu ambake msichana ijumaa halafu sijui kesho yake akarudia tena halafu akambaka tena kwenye gari? binti unaishinae unaweza kwenda kumbaka kwenye gari? Kwenye gari aliingiaje wakati anajua shemeji yake ni mbakaji? mimi naona huyo binti katoa mzigo yeye mwenyewe wala hajabakwa. Hii ni muvi script yake ni ideas kama za producer Kova.[/QUOTE
apo sasa.hii kesi ni tamu sana....yani kabakwa na kusababishiwa maumivu makali..akamweleza nani?kwa nn hakutoa taarifa ubakaj wa mwanzo akayatoa baada ya kubakwa tena?
jana nilishatoa clarification kwamba kugegedana katika gari ni ngumu lazima muamie siti ya nuima
ina maana esta aliamia siti ya nyuma kubakwa????
au aliingia siti ya nyuma akakinga bakuli???
Tokea habari iandikwe magazetini kwa mara ya kwanza alikuwa kukanusha? kama ni msafi kwa nini ajifiche muda wote huo?
Halafu kwa taarifa yako tu, tunafuatilia mambo yanayotokea nchi hii kwa ukaribu na tuna kumbukumbu pia. Ni huyo huyo Emmanuel Mbasha unayemtetea kwa kivuli cha utumishi wa Mungu, miaka kadhaa nyuma kabla ya kifo cha Moses Kulola, Mbasha huyo huyo aliwahi kumpiga mtu nyuma ya jukwaa kisa kupewa muda chache wa kuimba mkutanoni... alipigwa marufuku kuimba kwenye mikutano ya injili...
Ilisuluhishwa kiutu uzima na sakati kuisha kimya kimya...
jana nilishatoa clarification kwamba kugegedana katika gari ni ngumu lazima muamie siti ya nuima
ina maana esta aliamia siti ya nyuma kubakwa????
au aliingia siti ya nyuma akakinga bakuli???
Duuhh, umeongea kwa uzoefu wako. Nimeipenda!
Nilidhani wamasai hawajui hayo mambo ya kwenye gari...
MCHUNGUZI HURU umenikwaza ujue ntakufata mpaka kazini kwako yan nlivyo n mcheche hapa i wish The bold angekuja kutoa neno hata tujue ka mzima.Kwa maendeleo na ustawi wa taifa hili naomba Invisible uweke-pause hii thread ili watu tufanyekazi asubuhi hii then uta resume saa kumi na moja jioni, tafadhali mod tuonee huruma wenzio tutashindwa kufanyakazi kabisa kwa kufatilia taarifa hii huku tukizid kuhoji usalama wa The bold CC: masai dada TATIANA [MENTION=5187]J.lee tweenty4seven Heaven on Earth WAONE WALIVYONUNA Cc Active, Moderator, Mhariri
Ndoa za siku hizi hazina hofu ya Mungu kabisa...