Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Aende kwao?na GWAJIMAN amuachie nani?
inaonekana anakwepa kwenda nyumbani maana hawatamwelewa au jamaa alishapeleka malalamiko huko siku nyingi,ikabidi amegwe kibingwa na gwajima
 
Yaani uongo mwingine dah....,! Huyu Flora anazidi kujidhalilisha na anaidhalilisha familia ya akina Kulola....lakini karithi tabia ya mama yake mzazi ambaye alimfukuza nyumbani mume wake wa ndoa na akaanza kuishi kizinzi na hali yake kiuchumi ni mbaya sana kwa sasa....huyu binti ni malaya tu....MUNGU hafichagi wanafiki acha aendelee kutumbua fedha za sembe za Gwajima
 
Bado 'The Return Of Mr.Mbasha'.....iI'm Getting Bored With This Series Tho'
 
Reactions: kui
Am sorry to say this woman is stupid oh!
 
Akawadanganye wajinga..
Wenye akili tunajua mchezo anaoucheza na mchepuko wake gwajima..
Anadai anaishi mafichoni,alienda kwake kufanya nn.?
 
Huyu kwanini anaishi Hotelini,mi navyojua wanawake wengi wakizinguana na waume zao wanaenda kwanza nyumbani kwa wazazi

Hapo chacha hotelini kwaoooooo??????? Ananiuzi hata nyimbo zake sisikilizi sasahivi lofa huyu
 
Najiuliza, hivi toka lini majambazi yakabisha hodi? Ila nimependa usharp wa polisi, dakika chache tu wamefika, kama matukio yote wangekuwaga wanafika ontime ingekuwa pouwaz sana.
 
Unless kama anazungumzia polisi wa Marekani na namba aliyopiga ni 911.
Hao 'watu wabaya' walishindwa hata kuruka fensi hadi waombe wafunguliwe geti?
Utoto mtumpu.

Eeeeeee hilo nalo nenoooo atiiiiiii
 
Director kakosea hapa "Polisi walivyokuja akachungulia dirishani then akawafungulia geti' majambaz walivyokuja hakuwachungulia" "majambaz walipokuja waligonga geti kwa nguvu" sasa kama wanania ya kumdhuru kwa nin wasigonge geti kiustarabu ili wafunguliwe then wamfanyizie vizuri? "Majambz walimsikia flora akiongea na polisi wakakimbia""
 
Najiuliza toka lin jambaz abisha hodi tena kwa nguvu? Majambazi wamsikia flora akiongea na polisi kwa fone then wakakimbia?...polisi fasta washafka kam FBI vile....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…