Huyo mtitu ndo nani isijekuwa ndo walewale wabakaji
Huyo mtitu ndo nani isijekuwa ndo walewale wabakaji
Sijui ndio huyu, mkali wa bongo movie japo kiswahili magumashi
husomeni wenyewe..
anaendelea..........
Sijui ndio huyu, mkali wa bongo movie japo kiswahili magumashi
Kila binadamu nimkosaji ila makosa yanatofautiana piga picha nimtoto wako kabakwa au Dada yaname kabakwa baya zaidi uko katika hali ya umasikini ndiyo imekusababisha ubakwe je ungekuwa katika hali gani? Ubinadamu unakikomo cha uvumilivu
Mdhambi yoyote anahaki ya kuhukumiwa kama amekosa anastahili adhabu hii nikwayoyote yule awe babu seya na watoto wake au mwingine yeyote mkosefu anastahili adhabu
Mbasha kama amebaka adhabu yake nikifungo hii haihusu huruma ya mke pia kama mke anatembea na Ngwajima naye hukumu yake ya uzinzi ipo pale pale kwa mungu wetu mwenye kuhukumu sawa sawa na makosa yetu
Sikutegemea kama Mtitu ana uandishi mbovu kiasi hicho
Mkuu ngoja nikuulize swali upo kwenye ndoa? Kama upo ujue mwenzio katika ndoa anategemea utasimama upande wake katika mazuri na mabaya na utakuwa wa mwisho kumwacha ktk shida yake. Ndio maana ya "nikupende, nikutunze, nikutulize ktk shida na raha mpaka kifo kitutenganishe" Maneno haya wote Flora na mumewe waliyasema siku waliyofunga ndoa. Kama walisema tu ili wawahi kula wali na kulala, well, ndio yanayotufanya tumlaumu Flora.
Kwa maantiki hii Flora alipaswa kuweka pembeni ugomvi wowote waliokuwanao akasimama upande wa baba wa mwanaye , mume wa ujana wake. Lakini kuna mahali amenukuliwa akisema alikuwa hajui kama Mbasha amekamatwa. Ina maana alikata mawasiliano yote na mumewe! Kweli!!!?
..Halafu mkuu , ukumbuke Kuwa Mbasha bado mtuhumiwa tu wa ubakaji. Bado haijathibitika kuwa amebaka. Itakapothibitika amebaka, basi sheria itachukua mkondo wake. Na hata Flora anaweza sasa kuchukua uamuzi wowote.
Ndoa ndoana mkuu, ukiimeza tulia tuli, ukijitingisha kwa nguvu ndoana inavuta utumbo nje.
cc Mkulima wa KukuNi mwenzetu humu JF nadhani ataelewa makosa yake ya uandishi