Una mume mnaishi pamoja kama mwaka hivi, hamjabahatika kupata mtoto. Tangu umeolewa jamaa amekuwa mzito sana kukuhudumia na akitokea amekuhudumia, ni mpaka kumetokea ugomvi mkubwa.
Yeye anachojua ni kuhemea chakula ndani tu.
Unavyojaribu kumuuliza mbona mimi hanihudumii anajibu "Nilisoma kwa ajili ya ndugu zangu tu, na ninatafuta pesa kwa ajili ya ndugu zangu tu"
Je, kama wewe ni mke utajisikiaje, na utachukuwa maamuzi gani?
Alisoma kwa ajili ya ndg zake, hapo ni kuchakarika kutafuta zako ili ujihudumie na uhudumie ndg zako, mimi binamu yangu kaoa muda kidogo, wifi akawa analalamika hasaidii ndg zangu, kuja kulalamika kwa mama yangu, na kufunguliwa akili wewe upo home umekaa tu toa cherehani yako upinde kanga upate hela usaidie ndg zako. Hadi saiz ndg zake wakija anawasaidia fresh tu haya mambo ya kumtegemea mwanaume binafsi siyawezi.
FANYA MPANGO WA KUTAFUTA PESA YAKO, USIMTEGEME
Wanawake kipindi cha sikukuu wanahasira saana bora ubaki kimya la sivyo mtagombana.
Bidada anamaduka yake ya dawa 2 jamaa anahakikisha anasimamia
Msg auto VZR basiPole jaribu kuongea naye kumwelize mahitaji yako. Unajishughulisha na lolote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo 2m ni hela anayoingiza kwa mwezi?Kama ni hivyo anajimudu vizur.Kiwango Cha chini ambacho anaweza pata ni 2m icho nikiwango Cha chini
Una mume mnaishi pamoja kama mwaka hivi, hamjabahatika kupata mtoto. Tangu umeolewa jamaa amekuwa mzito sana kukuhudumia na akitokea amekuhudumia, ni mpaka kumetokea ugomvi mkubwa.
Yeye anachojua ni kuhemea chakula ndani tu.
Unavyojaribu kumuuliza mbona mimi hanihudumii anajibu "Nilisoma kwa ajili ya ndugu zangu tu, na ninatafuta pesa kwa ajili ya ndugu zangu tu"
Je, kama wewe ni mke utajisikiaje, na utachukuwa maamuzi gani?
Wewe kiwango cha chini unapata ngapi kwenye utafutaji wako?Kiwango Cha chini ambacho anaweza pata ni 2m icho nikiwango Cha chini
Amina mkuu, mtu mzima uhudumiwe kweli hata kama mwanamke matunzo kwa usawa huu tujitunze wenyewe....constructive advice,..MTU mzima unalalamika kuhudumiwa kweli ?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku moja ya kuchepuka na mimba ndiiiiiChepuka wewe acha kujitesa nafsi hapa chini ya jua tunapita tu,kakujibu vizuri sana japo ukweli unauma kumbuka hizi ni zama za 50 kwa 50
Sent using Jamii Forums mobile app
lak 6Wewe kiwango cha chini unapata ngapi kwenye utafutaji wako?