Mume wa ndoa akikujibu hivi utajisikiaje?

Mume wa ndoa akikujibu hivi utajisikiaje?

Hapo naona kwanza sidhani hata maelewano Kama yapo mpk mumeo anakujibu ivyo ni hatari sana fanya mpango uende kwa mama mkwe ukatoe malalamiko yako usichukue uamuzi wa kuondoka kwanza nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke ni jukumu la mume hata kama mke Ana kipato kikubwa zaidi.Mume anawajibika kufanya kwa uwezo wake.
Kama wako hafanyi please please hakikisha hupati mtoto kwa gharama yoyote Till una uhakika na kipato chako binafsi na kama bado unataka kuendelea kuishi nae(ni bora zaidi watoto waishi na baba na mama).
Kifupi hapo mume huna!
 
That's what happens when a woman decide to follow a confused man. Inaonekana jamaa hajielewi na hajui anataka nini maishan mwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa watu watatoa hukumu kwa ushahidi wa upande mmoja tu.
Anaweza kuonewa mumueo kimakosa.
Huenda kuna tatizo upande wako pia zaidi ya kutopata watoto. Hilo la watoto shida yawezekana ipo kwa mumeo.
Mlete mumeo JF nae aje ajitetee kwanini anafanya mambo ya kitoto na kishamba kama hayo.
😀😀😀😀😀
 
Una mume mnaishi pamoja kama mwaka hivi, hamjabahatika kupata mtoto. Tangu umeolewa jamaa amekuwa mzito sana kukuhudumia na akitokea amekuhudumia, ni mpaka kumetokea ugomvi mkubwa.

Yeye anachojua ni kuhemea chakula ndani tu.

Unavyojaribu kumuuliza mbona mimi hanihudumii anajibu "Nilisoma kwa ajili ya ndugu zangu tu, na ninatafuta pesa kwa ajili ya ndugu zangu tu"

Je, kama wewe ni mke utajisikiaje, na utachukuwa maamuzi gani?
Pole sana rafiki
 
Back
Top Bottom