uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,085
Mwanza
Ukiaga anaweza kukushawishi ukabaki kumbe mambo ni yaletaleHata mwizi huwa anaaga
Ok ok..nimeona nyuzi zake asee, toka 2014 hukoo ni majanga balaaa[emoji848][emoji848]
Mitihani..alafu wengine tunakumbatia mito tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ok ok..nimeona nyuzi zake asee, toka 2014 hukoo ni majanga balaaa[emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uandishi huu unaonekana kabisa wewe sio wife material....Mbali na kuongea nae iyo kauli tu mtu unashindwa kuielewa yan ingekua Mimi angefurahia shoo
Ha haa haaMitihani..alafu wengine tunakumbatia mito tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππHapa watu watatoa hukumu kwa ushahidi wa upande mmoja tu.
Anaweza kuonewa mumueo kimakosa.
Huenda kuna tatizo upande wako pia zaidi ya kutopata watoto. Hilo la watoto shida yawezekana ipo kwa mumeo.
Mlete mumeo JF nae aje ajitetee kwanini anafanya mambo ya kitoto na kishamba kama hayo.
Pole sana rafikiUna mume mnaishi pamoja kama mwaka hivi, hamjabahatika kupata mtoto. Tangu umeolewa jamaa amekuwa mzito sana kukuhudumia na akitokea amekuhudumia, ni mpaka kumetokea ugomvi mkubwa.
Yeye anachojua ni kuhemea chakula ndani tu.
Unavyojaribu kumuuliza mbona mimi hanihudumii anajibu "Nilisoma kwa ajili ya ndugu zangu tu, na ninatafuta pesa kwa ajili ya ndugu zangu tu"
Je, kama wewe ni mke utajisikiaje, na utachukuwa maamuzi gani?
πππππ