Sidhani km itatokea iyo cku[emoji18]Acha hayo mambo thatsit. Siku ukiweka Tangazo unitag kabisaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani km itatokea iyo cku[emoji18]Acha hayo mambo thatsit. Siku ukiweka Tangazo unitag kabisaa
Basi sawa.Sidhani km itatokea iyo cku[emoji18]
Haha... hayo mabusu wanayapeleka wapi mkuu
Nale shinyanga bhabha!Nsamaka bhebhe
Ulihali mayu?
Nipo apa kama bdo ujafanikiwaHi guys, poleni na majukumu.
Baada ya kuumizwa kwa muda mrefu na mapenzi niliamua kupumzika lkn sasa naona ni muda mwafaka wa mm Kuwa na mahusiano yanaeleweka ikibidi yafikie hatua ya ndoa.
Mm ni mwanamke WA miaka 28,Niko na mtoto mmoja lkn kwa bahati mbaya mzazi mwenzangu alishatangulia mbele ya haki. Mi mkristo na niko shinyanga. Ni mwajiriwa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo.
Umri miaka 32 mpaka 40.
Kabila lolote ila awe mkristo.
Awe na mapenzi ya kweli kwasababu mm niko serious.
Awe na kipato halali na awe na akili ya maisha ya kupenda maendeleo.
Kwa yeyote atakaekuwa interested, karibu pm tuanze kufahamiana.
NB: Sihitaji kejeli wala matusi.
Nakwiza koNale shinyanga bhabha!
Nilishapata kitambo wala sio wa humu, kwhy sidhani km kuna ulazima wa kusema tena.Cha msingi sema kwanza ni nini kilimuua marehemu mumeo.
Hi guys, poleni na majukumu,
Baada ya kuumizwa kwa muda mrefu na mapenzi niliamua kupumzika lkn sasa naona ni muda mwafaka wa mimi kuwa na mahusiano yanaeleweka ikibidi yafikie hatua ya ndoa. Mimi ni mwanamke wa miaka 28, niko na mtoto mmoja lakini kwa bahati mbaya mzazi mwenzangu alishatangulia mbele ya haki. Mi mkristo na niko shinyanga. Ni mwajiriwa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo.
Umri miaka 32 mpaka 40.
Kabila lolote ila awe mkristo.
Awe na mapenzi ya kweli kwasababu mm niko serious.
Awe na kipato halali na awe na akili ya maisha ya kupenda maendeleo.
Kwa yeyote atakaekuwa interested, karibu pm tuanze kufahamiana.
NB: Sihitaji kejeli wala matusi.
Asante BAK ila tayari shemeji alishapatikana. Tulikutana mitaani tu. Huku wapo ila wengi wazinguaji.Kila la heri na baraka nsamaka katika kupata mtu umtakaye kwenye maisha yako.
Asante BAK ila tayari shemeji alishapatikana. Tulikutana mitaani tu. Huku wapo ila wengi wazinguaji.
Asante kaka, usijali.Hongera sana mkianza kutafuta michango nakuomba usinisahau. Kila la heri na Baraka kwenye safari yenu ya kujenga penzi
.
Unataka utoke kwenye ndoa? Kwann njoo pmMm nina shida kama yako, ila tofauti kidogo mwenzio bado nipo kwenye ndoa. Nakuja inbox