Mume wa Shamim amtishia Mange Bastola

Mume wa Shamim amtishia Mange Bastola

Status
Not open for further replies.
Weeee unataka uniambie Makamba nae alimpitia???Duuh kama nawaona wakina Naki....ujue hasira inakubamba mpk unajikuta unataka kumtawanyisha mtu ubongo.
Naye ka kapitiwa na mtu kamwacha roho ina muuma ndo mana daily ana mtaja kwenye maandishi yake.
 
Ha ha ha Mange ana ubaya wake....ila hata kama akiongeaga kitu kizuri lazima ataweka kichuki fulani binafsi.Kama ile inshu ya Naki kupamba ukumbi wa CCM ilinichekesha

Ya Nacki ndio anazidi kuonyesha jinsi anaumia kwa wivu wa maisha yao. Mwishowe kumbe yeye ndio alikuwa anawabebea mikoba yaani duh. Na Nape alitoa shukurani live na kumtaja aliyepamba hall siku hiyo tulimsikia.

Ila kweli anaogopa kwa kuingia Bongo kimya kimya anajua aliyoyatenda. Angeondoka bila kufatwa angejisifia. Afadhali hakuna aliyeuawa.
 
Ila loya we mbayaaaaaa.

Kumbe watu wanamiliki hadi vituo vya polisi, hata kunitonya mchakato na sie tumiliki hata viwili tu ....
Teh Teh Boss nchi hii watu wana miliki vituo ndio maana hakuna mtu anaweza kureport jambo la hatari maana watakuchoma! Ila Mange anapitiliza sana...
 
Subiri tuone watakapoishia coz Mange anasema yeye anamtajaga Mr Sembe na sio yeye.Ha ha ha ni hatari
Hapo hawezi kukukana mana huwa ana mtaja shamimu a.k.a mama sembe hapo direct unaelewa ana muongelea nani na ile kuwaanika kwenye blog yake. Hyo kutishiwa angetafta ushahidi angempiga hata picha huyo Mr. Sembe kama hana, ni ujanja wake wa kujilinda mana hao watu sijui walimkosea nini?
 
Kwa matendo na mambo anayo yafanya Mange lazima atakuja kupigwa risasi kabisa halafu kukaa kwake nje ya nchi nako kunamsaidia, maana wengine hawawezi kumfata, ila huwa anapitiliza kabisa..

Mi mpaka sasa sielewi kwa nini hana hata kilema cha maisha. Nadhani anajua watu wa ku-mess nao maana sisi wengine tungekuwa tushamvuruga zamani sana. I mean, mtu anatukana na kuchafua watu namna hiyo halafu anatembea tu mjini as if she owns the town?

She must be messing with the right people and not real thugs. Real thugs don't play. You run your mouth and they will take care of you real quick.
 
Ahsante sijaamua tu nilivombishi ntafungua account nyingine niwafollow tena na doggymasta nae kaniblock teh
Teh Teh wewe lazima ni mkorofi au nenda kwa Ngwajima akupe maombi maalum yanaitwa "unblock prayers "
 
Mtu kama huyo ni kumtoa mapema sana duniani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom