mtumba
na ndugu wa mama ataitwa nani?Mjomba.
mtumba
huku kwetu tumezoea ni mjomba ila ni mkwe
Nadhani mjomba inaleta maana,lakini sidhani kama mkwe inaweza kuingia hapa..kwa sababu,mkwe ni yule aliye muoa mtoto wako wa kike au kuolewa na mtoto wako wa kiume-wewe kumuita hivyo au yeye kukuita hivyo....So nadhani mume wa shangazi ni sahihi kumuita mjomba.
Me hua namwita mjomba