Mume wa Spika Tulia kuwa Mkurugenzi EWURA, ni Mateso kwa taifa, Mafuta hayapatikani

Mume wa Spika Tulia kuwa Mkurugenzi EWURA, ni Mateso kwa taifa, Mafuta hayapatikani

Je, Rostam Aziz kashamuweka Kiganjani?

Tangu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dk James Mwainyekule ambaye pia ni mume wa Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akamate kiti hiki, Mafuta yamekuwa ya Tabu sana kupatikana.

Napendekeza aondolewe ili kuokoa taifa sababu Wanasiasa Marafiki zake wamemzidi maarifa.

Ukiacha kuwa mume wa Spika, ni rafiki Mkubwa wa Waziri Makamba. Makamba ni Rafiki wa Rostam. Makamba ni Waziri wa Nishati. Mteule wa Rais.

Tumuweke mtu ambaye sio Mwanasiasa.

Hapokei Ushauri wa watu wa chini wala Maelezo ya Bodi.

Basi kama anaogopwa sababubya Spika, ahamishwe apelekww Kilimo.

EWURA imewekwa mtu kati. Nani atusemee Watanzania mbele ya matajiri hawa?
No matter how beautiful she looks, someone somewhere is tired of her shit..


nimeipenda sana signature yako.
 
Hata mke wa clinton alikuja kuwa Waziri wa Nje wa US Na baadae akagombea uraisi wa nchi! Kama ana uwezo hakuna shida asibaguliwe kwa vile ni mke wa Spika!
Sasa unalinganisha huu usaka na Mama Bill Clinton?
Unadhani USA kuna teuzi za michongo kama Tanzania!Kule upewi Ubalozi achilia mbali Uwaziri bila kuhojiwa na Bunge la Marekani!
 
kwanza ni wapi hapo hakuna mafuta, au unaokoteza viumbea vya husda, mwenyewe huna boda boda sheli ulienda kufanya nini. Wenzako wote PhD holders we unakuja huku na husda zako, uonage aibu. Ikitokea hitilafu kidogo sehemu flani mnakuja huku, mmeifanya JF jukwaa la walioshindwa maisha, wenye stress
Ni kweli kuna uhaba wa Mafuta huko mokowani Kama kule Katavi na kuna Wafanyabiashara wa Mafuta tayari wameshakamatwa na EWURA kwa kuficha Mafuta ili kusubiri bei ilande ndiyo watowe Mzigo!!
 
Tatizo ni Ewura kama uwura!?
au tatizo Dr James Mwainyekule!?
Tatizo ni umume wa spika!?
Tatizo ni Spika!?
Tatizo ni umke wa mkurugenzi!?
Au tatizo ni dada Tulia Jackson!?

Kama vile siielewi maada
Imagine issue ya kuwa mke wa supika inaingiaje
 
Suluhisho ni kutafuta mwekezaji, aje achimbe haya mafuta tuliyonayo.
 
Je, Rostam Aziz kashamuweka Kiganjani?

Tangu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dk James Mwainyekule ambaye pia ni mume wa Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akamate kiti hiki, Mafuta yamekuwa ya Tabu sana kupatikana.

Napendekeza aondolewe ili kuokoa taifa sababu Wanasiasa Marafiki zake wamemzidi maarifa.

Ukiacha kuwa mume wa Spika, ni rafiki Mkubwa wa Waziri Makamba. Makamba ni Rafiki wa Rostam. Makamba ni Waziri wa Nishati. Mteule wa Rais.

Tumuweke mtu ambaye sio Mwanasiasa.

Hapokei Ushauri wa watu wa chini wala Maelezo ya Bodi.

Basi kama anaogopwa sababubya Spika, ahamishwe apelekww Kilimo.

EWURA imewekwa mtu kati. Nani atusemee Watanzania mbele ya matajiri hawa?
Aaha kumbe! Ndiyo maana Tulia mwezi uliopita alisema jimboni kwake Iyunga wananchi wanaunganishiwa umeme kwa shilingi 27,000/=! Mods wakawa wanaunyofoa uzi kumlinda!
 
Tatizo ni Ewura kama uwura!?
au tatizo Dr James Mwainyekule!?
Tatizo ni umume wa spika!?
Tatizo ni Spika!?
Tatizo ni umke wa mkurugenzi!?
Au tatizo ni dada Tulia Jackson!?

Kama vile siielewi maada
All the above
 
Too much conflict of interests
 
Hata mke wa clinton alikuja kuwa Waziri wa Nje wa US Na baadae akagombea uraisi wa nchi! Kama ana uwezo hakuna shida asibaguliwe kwa vile ni mke wa Spika!
Kugombea urais ni cheo gani?
Mawaziri wa US huthubitishwa kwa wingi wa kura na bunge la seneti.
 
Hatari Mno. Wanao safiri na magari madogo kati ya Dar hadi kigoma wana pata shida sana.

Ukishafika gairo, hakuna mafta, tabora hakuna mafuta. Kimsingi vituo vya nje ya mkoa vyote havina mafuta.
Vyote!?
 
Back
Top Bottom