Angalia pm hahaHaaaa!
Ndy mnasemaga hivyo,, mwisho wa siku zikipigwa simu mkiwa na hao waume zenu,,, mnakwenda kuongelea jikoni, , hivi mnatafutaga NINI kwengine Kama wamekamilika kila kitu?Kuna wanaume wagumu na sura zinavutia pia
Huyo wangu mi ni the best,,kila kitu anacho
Sina jamani anaogopa kujulikana huyooo utafikiri atatekwa mfyuuu😀😀😀😀
Hauna namba yake, umwambie amemisika huku
Nyie wanaume ndio tuwaulize halaf hayo mengineNdy mnasemaga hivyo,, mwisho wa siku zikipigwa simu mkiwa na hao waume zenu,,, mnakwenda kuongelea jikoni, , hivi mnatafutaga NINI kwengine Kama wamekamilika kila kitu?
Sasa ngoja nikusaidie,Mkuu,, hujanielewa,, Kuwa na sura NGUMU,, haimaanishi Una sura mbaya,, nazungumzia kuna wanaume wanakuwa wazuri km wanawake,, kucheka Cheka hovyo,,pasi na sababu,,, wapo laini kwenye kutembea hata kuzungumza,, mwanaume unapaswa unakuwa na sauti ZITO hata ukiongea wanajuwa DUME LIPO NDANI,,, na sura NGUMU,,, wale wanaume warembo sana hawana zile haiba za KIUME,,, wao ni wazuri wa sura,,, wanawake wanavutiwa na sura zao,,, hawana kitu wale,, unaweza ukasema ni watamu sababu ya uwezo wako kufikia hapo mkuu,,, ni sawa na ule MSEMO WA KIPOFU kaona mwezi,, kila anachokiona anaona kikubwa Kama mwezi,, na kizuri Kama mwezi,,, sababu hajaona vingine zaidi ya mwezi,,, jaribu sura NGUMU mkuu kwnz,, halafu Nipe marejesho Hata kwa PM..
Kama MWANAUME mbaya,, pesa hana,, KITANDANI pia Hanna kitu,, hivi hadi unamkubali umevutiwa na nn? Kipo kilichokuvuta sio bure,,, 100% ni pesa au cheo chake NDY kilichokuvuta kumfataHao ndiyo wengi.
Alafu wana dharau sana,hawathamini wanawake alafu na pesa hawana.
Kabisa anahamaNaona unahamisha mada
Kwa sababu mwanamke atatembea na mwanamme wala sio Mbuzi.Kama MWANAUME mbaya,, pesa hana,, KITANDANI pia Hanna kitu,, hivi hadi unamkubali umevutiwa na nn? Kipo kilichokuvuta sio bure,,, 100% ni pesa au cheo chake NDY kilichokuvuta kumfata
Nina maana Kama MWANAUME wako kakamilika kwa uzuri wake,, na Ana pesa,,, na Ana kila kitu KITANDANI.. Nn kinafanya uhangaike? Sasa jaribu sura NGUMU mkuu.. Hutokimbilia jikoni tena,,, kuongea na sm,,, hutoona cha kufata nje...Naona unahamisha mada
Mtu yeyote,akipata vyote anavyohitaji hawezi kufanya hivyo.Nina maana Kama MWANAUME wako kakamilika kwa uzuri wake,, na Ana pesa,,, na Ana kila kitu KITANDANI.. Nn kinafanya uhangaike? Sasa jaribu sura NGUMU mkuu.. Hutokimbilia jikoni tena,,, kuongea na sm,,, hutoona cha kufata nje...
Na kudeka deka kama demu aaaiii hahahaaAna haiba ya kishoga.Simtaki wa vile
Awatake radhi kabisaa!
Sio kweli,,, Hata siku moja huwezi kumkuta kipepeo kwenye majani makavu,,, kipepeo hufata maua mazuri,, tena yanayopendeza,, sasa siku ukimkuta kipepeo ktk majani makavu basi elewa ipo sababu,, sasa mwanamke ukimkuta yupo kwa MWANAUME sura NGUMU,, au mbaya elewa kuna kitu special anacho,,,, hebu jiulize jack wolper kaona hao warembo wanaume wangapi? Akaamua kunasa kwa hyo mnayemuita sura NGUMU? kwhyo MWANAUME Kama UNA SURA NGUMU,, Kama Huna pesa na KITANDANI Huna kitu,, huwezi kuwapata wanawake,, so Huyo jamaa anacho something so special that jack wolper never seen before,, mwacheni ajilie BUMUNDA lakeKwa sababu mwanamke atatembea na mwanamme wala sio Mbuzi.
No matter what,binadamu mwenye akili timamu mate wake ni binadamu.
Mwisho wa siku ukikosa unayemtaka utatoka na kilichopo.
Na zile tattoo mwili mzima loh!!mwanaume anapaka lip shine hahha inahuBrown
Mwanamme anapiga piga mapicha na kujiremba ovyo.
Yani anashinda Gym na kutinda nyusi awanase wanawake wenye pesa .
Mwanamme mdangaji simpendi kabisa.
Wanatutesa kimapenzi na pesa wanataka shenze.Afanye kazi aache umariyoo
Huyu pia anaonekana wa kulamba lipsView attachment 680526 na huyu unamtaka??
HhhhaaaaHuyu pia anaonekana wa kulamba lips
Jack ana haraka ya ndoa haangalii hata kama vingine anataka ndoa arushe picha instaSio kweli,,, Hata siku moja huwezi kumkuta kipepeo kwenye majani makavu,,, kipepeo hufata maua mazuri,, tena yanayopendeza,, sasa siku ukimkuta kipepeo ktk majani makavu basi elewa ipo sababu,, sasa mwanamke ukimkuta yupo kwa MWANAUME sura NGUMU,, au mbaya elewa kuna kitu special anacho,,,, hebu jiulize jack wolper kaona hao warembo wanaume wangapi? Akaamua kunasa kwa hyo mnayemuita sura NGUMU? kwhyo MWANAUME Kama UNA SURA NGUMU,, Kama Huna pesa na KITANDANI Huna kitu,, huwezi kuwapata wanawake,, so Huyo jamaa anacho something so special that jack wolper never seen before,, mwacheni ajilie BUMUNDA lake
Usishangae hata mahali Wolper kajichangia.Maana alikuwa anataka sana ndoa.Na condition ya kumkubalia ilikuwa ni Ndoa.Sio kweli,,, Hata siku moja huwezi kumkuta kipepeo kwenye majani makavu,,, kipepeo hufata maua mazuri,, tena yanayopendeza,, sasa siku ukimkuta kipepeo ktk majani makavu basi elewa ipo sababu,, sasa mwanamke ukimkuta yupo kwa MWANAUME sura NGUMU,, au mbaya elewa kuna kitu special anacho,,,, hebu jiulize jack wolper kaona hao warembo wanaume wangapi? Akaamua kunasa kwa hyo mnayemuita sura NGUMU? kwhyo MWANAUME Kama UNA SURA NGUMU,, Kama Huna pesa na KITANDANI Huna kitu,, huwezi kuwapata wanawake,, so Huyo jamaa anacho something so special that jack wolper never seen before,, mwacheni ajilie BUMUNDA lake