Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Na inaelekea anapenda dread[emoji23][emoji23]Hizo dread wolper atakuwa anazichezea mpaka mzee anasinzia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na inaelekea anapenda dread[emoji23][emoji23]Hizo dread wolper atakuwa anazichezea mpaka mzee anasinzia!
Somebody Sanga,Nafikiri atakuwa mkingaJamaa ni msukuma?
Hujammiss warumi chaumbeaAna hamu sana na ndoa ndio maana
Yaonekana wewe ni mmoja ya wanaopenda wanaume wa showoff,, mwisho wa siku mnawapa sifa za VIBAMIA,,, mara hawawezi kazi... jaribu siku sura NGUMU,, uone,, labda nikwambiye kitu,, siku zote MWANAUME anacho anachoringia ktk mapenzi,,, wale wenye pesa huringia pesa zao,,, mara nyingi si wajuzi kitandani,, na wale wenye sura nzr huringia sura zao,nao pia sio wajuzi sana..... , na hawa wenye sura NGUMU hawana cha kutambia zaidi ya KAZI ZA KITANDANI,,, NDY siri ya warembo kupenda wenye sura NGUMU... hao wanaume wazuri ni kwa ajili ya showoff tu...Mi wanaume wenye sura ngumu hivi hapana ,,sifurahiagi kiukwelii
Kua na mustach ni kawaida na inavutia tu ,,kama huuView attachment 680493 unavutia
Yule dogo brown bana mi ninevumilia tu bana linavutia kweliNa inaelekea anapenda dread[emoji23][emoji23]
Heheheh sio wote wenye sura za showoff wapo vibaya kitandani au wana vibamia ,huyo kaka nilierusha mwenye mustach kiasi hana kibamia na ni mzuri balaaYaonekana wewe ni mmoja ya wanaopenda wanaume wa showoff,, mwisho wa siku mnawapa sifa za VIBAMIA,,, mara hawawezi kazi... jaribu siku sura NGUMU,, uone,, labda nikwambiye kitu,, siku zote MWANAUME anacho anachoringia ktk mapenzi,,, wale wenye pesa huringia pesa zao,,, mara nyingi si wajuzi kitandani,, na wale wenye sura nzr huringia sura zao,nao pia sio wajuzi sana..... , na hawa wenye sura NGUMU hawana cha kutambia zaidi ya KAZI ZA KITANDANI,,, NDY siri ya warembo kupenda wenye sura NGUMU... hao wanaume wazuri ni kwa ajili ya showoff tu...
Sio kwl,, kalipwa na nani? wakati jamaa anakula BUMUNDA bila wasiwasi... Hakuna kiki hapo,, that's reallyKiki hizi,wolper kalipwa hela nying amtoe jamaa,hata dogo janja pia nae kiki tuu,ndoa ya ukwel ni ya shish beibe
Yule ni bonge la hb lakin amezid kulamba lamba lips,duh wa kulamba lips mi waaala[emoji2] [emoji2]Yule dogo brown bana mi ninevumilia tu bana linavutia kweli
tutake radhi kaka[emoji1] [emoji1] [emoji1]wasukuma hatupo hivyoAfadhari kampata msukuma wake wa kijijini mwenyewe.
Ndy nimesema wanawake mnapenda showoff... Lakini mwisho wa siku hupata maumivu,, Hata sisi wanaume mara nyingi mwanamke mrembo sn anakuwa hajuwi kitu KITANDANI kuliko yule mwanamke wa kawaida tu,,, unakuwa na msichana mrembo wa showoff tu,, na hakupi raha Bali unajipa mwnyewe,,Heheheh sio wote wenye sura za showoff wapo vibaya kitandani au wana vibamia ,huyo kaka nilierusha mwenye mustach kiasi hana kibamia na ni mzuri balaa
Kwasasa kinachomata ni mpunga. Kama unampunga hata ukiwa n.a. sura ngumu kiasi gani kina wolper, Sky Eclat, Umber lulu, Irene Uwoya, Gig money utawakamta tu.Wolper awe na amani, kuibiwa hapa si rahisi
Atukome kabisaatutake radhi kaka[emoji1] [emoji1] [emoji1]wasukuma hatupo hivyo
Hapana ,,mapenzio sio tu kitandani,,Ndy nimesema wanawake mnapenda showoff... Lakini mwisho wa siku hupata maumivu,, Hata sisi wanaume mara nyingi mwanamke mrembo sn anakuwa hajuwi kitu KITANDANI kuliko yule mwanamke wa kawaida tu,,, unakuwa na msichana mrembo wa showoff tu,, na hakupi raha Bali unajipa mwnyewe,,
hahahahahahaMbona kidume ana sura kama chupi la man fongo
Halafu ukishasisimka anakurambaramba anakubakisha na kiu,,,, wanini hyo? na siku zote wanawake mnachosema sio mnachokiwaza kwenye mioyo yenu,,, unasema hana mvuto wakati huyo handsome anakubakisha na KIU,, hata hivyo kwani jamaa Ana ubaya GANI?yule ni sura NGUMU... Sio sura mbaya... Ukitaka kukata kiu chukuwa sura NGUMU mkuu,,,, onja asali kidogo tu,,, naamini utauchonga mzingaHapana ,,mapenzio sio tu kitandani,,
Mwanaume unamuona yuleee anakuja hata husisimki kaaa
Yaan hapana,,hata wazuri wanakata kiu sanaHalafu ukishasisimka anakurambaramba anakubakisha na kiu,,,, wanini hyo? na siku zote wanawake mnachosema sio mnachokiwaza kwenye mioyo yenu,,, unasema hana mvuto wakati huyo handsome anakubakisha na KIU,, hata hivyo kwani jamaa Ana ubaya GANI?yule ni sura NGUMU... Sio sura mbaya... Ukitaka kukata kiu chukuwa sura NGUMU mkuu,,,, onja asali kidogo tu,,, naamini utauchonga mzinga
Kaka,hatumlaumu huyo jamaa kwa kuwa na sura ngumu hata kidogo!Ndy nimesema wanawake mnapenda showoff... Lakini mwisho wa siku hupata maumivu,, Hata sisi wanaume mara nyingi mwanamke mrembo sn anakuwa hajuwi kitu KITANDANI kuliko yule mwanamke wa kawaida tu,,, unakuwa na msichana mrembo wa showoff tu,, na hakupi raha Bali unajipa mwnyewe,,
Ndy maana kuna GOOD,, BETTER,, BEST.. huenda hao sura nzr wakawa GOOD,, lakini sura NGUMU ni the BEST mkuu,, jaribu.... Mimi mwenyewe Nina sura NGUMU,, MZUZU kidogo.na mikausho mikali.. .. nikisema sura NGUMU sio MWANAUME mchafu,,,,au sura mbaya.. Anakuwa ni MWANAUME gentleman,, marashi ya bei,, unatupia vitu vya ki gentleman,, miwani,, unatembea kwa steps KALI,, halafu mikausho,, aisee,, ukikutana na mwanamke kila ukimwangalia lazima atafune kucha,, na unaweza ukamtongoza kwa ishara tu bila kuongea neno,, atakufata...Yaan hapana,,hata wazuri wanakata kiu sana
Maumivu huyapati tu kwa sababu umekuwa na mwanamme ana mwonekano mzuri!Ndy nimesema wanawake mnapenda showoff... Lakini mwisho wa siku hupata maumivu,, Hata sisi wanaume mara nyingi mwanamke mrembo sn anakuwa hajuwi kitu KITANDANI kuliko yule mwanamke wa kawaida tu,,, unakuwa na msichana mrembo wa showoff tu,, na hakupi raha Bali unajipa mwnyewe,,