Mume wa Wolper

Mume wa Wolper

Duh!! Maombi yangu kama wakibahatika kubebeshana mimba mtoto asifanane na baba yake tu....!!!
Hahahaha rangi ya mama itambeba Alf mama stylish lazm mtot ataonekana cute tu ata afanane na baba ake[emoji1] [emoji1]
 
Hehehe kuzurura tumwachie nani na umbea hao wanaume watatufukuza
Au tuolewe tutoe mikosi etiii
Tuolewe tuheshimike!
Mimi lazima niolewe mitara na wewe ndoa itadumu.
Akizingua tunamchangia.
 
Mme wa Wolper huyo!Wine zote zimeniisha
f8406e3da6b91cda2073783d1416af61.jpg

Dinazarde
Dah hivi wolper ndio alikua akimchamba marehemu Ndikumana ana sura mbaya.....
Hii sura ya mchumba wake siiongelei namuachia Mungu.
 
Tuolewe tuheshimike!
Mimi lazima niolewe mitara na wewe ndoa itadumu.
Akizingua tunamchangia.
Hahaha wee mi navyopenda ukuni itabdi uwe unahamia kitandani tunapiga 3some,,zikiongezeka na zako atajutaaa atajua ule msemo mwanaume mashine au laaaa
 
Dah hivi wolper ndio alikua akimchamba marehemu Ndikumana ana sura mbaya.....
Hii sura ya mchumba wake siiongelei namuachia Mungu.
Nafikiri alikuwa ameusahau ule msemo kuwa usitukane mamba...
 
Hahaha wee mi navyopenda ukuni itabdi uwe unahamia kitandani tunapiga 3some,,zikiongezeka na zako atajutaaa atajua ule msemo mwanaume mashine au laaaa
Alafu utakuwa unanionea wewe,utakuwa unanisukumia mbali.
 
Weee akiwa na kasura kazuri halaf na mwanya weee utafyrahia,,sasa huyu sijui tumuombee wolpa
Aliwahi kumsema Ndikumana ana sura mbaya...hii ya huyu bolo yang ni kama anaugulia maumivu
Ameshangilia mahari hajuagi huwaga wanakata kona hao!
Tatizo kila kitu anadolishia kama mshamba fulani.
 
Aliwahi kumsema Ndikumana ana sura mbaya...hii ya huyu bolo yang ni kama anaugulia maumivu
Ameshangilia mahari hajuagi huwaga wanakata kona hao!
Tatizo kila kitu anadolishia kama mshamba fulani.
Ngoja tusubiriee,ndiku na huyu si bora ndiku
 
Back
Top Bottom