Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
mim nkajua.....ndio mwarab fighter wake..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakwako utatuonyesha lini shost?
hebu tuwekee picha yake tumune huyo the best wakoKuna wanaume wagumu na sura zinavutia pia
Huyo wangu mi ni the best,,kila kitu anacho
Nawe unapenda ubuyuhebu tuwekee picha yake tumune huyo the best wako
Ili iwejeeeDuuh karne hii wanaume tusio ma hechibiii tutakwisha.
wacha nibebe box nitafute vidolari nikachonge pua kama Wako Jacko.
Tuwavutie...Ili iwejeee
aisee kumbe ndio huyu amefanana sana na mimiNawe unapenda ubuyuView attachment 680561
Huyo hapo ni member wa humu hhhaa
We mzuri unatosha ulivyo ila nenepa kidogo una mwili wa kichoyooTuwavutie...
Sasa kapicha kangu na virasta vyangu[nataka kufuga] kakirushiwa wakati naengage kama huyu bwana si nitaghairi kuoa.
Utakuwa ni wewe tuaisee kumbe ndio huyu amefanana sana na mimi
Halafu nyie ndiyo mnasababisha wanakuwa mashoga mwanaume mzuri?? Wapi tako, guu, au kifua.We mzuri unatosha ulivyo ila nenepa kidogo una mwili wa kichoyoo
umeona ee itabidi unichukue na mimiUtakuwa ni wewe tu
Ukikaa na mie lazima upate kashavu,,,fanya likizo moja uwe karibu yanguHalafu nyie ndiyo mnasababisha wanakuwa mashoga mwanaume mzuri?? Wapi tako, guu, au kifua.
kunenepa sijaanza leo kuambiwa toka nipo shule.. nilikuwa nikirudi nyumbani mama anachukia hatari.. hapo hapo anachinjwa kuku nalazimishwa kumla hadi nimmalize mwenyewe. Lakini wapi? Nipe dawa basi nifutuke kama nanii
Sawaaumeona ee itabidi unichukue na mimi
[emoji23] [emoji23]Ukikaa na mie lazima upate kashavu,,,fanya likizo moja uwe karibu yangu
Hhhaaaaa[emoji23] [emoji23]
Kwamba unagawa vinono ama haha.. si unacome hapo karibu wewe?
Aisee hii comment yako mpaka nimedinda. Na hapa sijapata K nina wiki 3 sasa. Dah asalale mtoto umenichanganya kwa kweli.Hahaha wee mi navyopenda ukuni itabdi uwe unahamia kitandani tunapiga 3some,,zikiongezeka na zako atajutaaa atajua ule msemo mwanaume mashine au laaaa