Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Maxence Melo tunaoma uamue hii kesi aiseeYaani tangu alipoondoka saa 12 asubuhi kufuata zawadi yake ndio anaingia ndani muda huu, kalewa pomoni, anasema huko waliitiwa kula na kunywa...
Hta mimi nahisi ni GentaGENTAMYCINE mke wako analalamika huku hela yote ya JF umehonga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna soda inaitwa super komando [emoji23]Huyo Ni . Mke wa GENTAMYCINE bila shaka maana mshana jr yupo fit Hadi Muda huu
Asante timu nzima ya JamiiForums. Asante Maxence Melo, zawadi hakika ni maridadi kweli kweli, wengine wamerudi nyumbani wakitembea dog style. Very superb.Yaani tangu alipoondoka saa 12 asubuhi kufuata zawadi yake ndio anaingia ndani muda huu, kalewa pomoni, anasema huko waliitiwa kula na kunywa...
Siyo paschal Mayala huyo kweliYaani tangu alipoondoka saa 12 asubuhi kufuata zawadi yake ndio anaingia ndani muda huu, kalewa pomoni, anasema huko waliitiwa kula na kunywa...
Nipo hapa bro .. Ukapotelea wapi? Niliona mkono tuu [emoji23]Asante timu nzima ya JamiiForums. Asante Maxence Melo, zawadi hakika ni maridadi kweli kweli, wengine wamerudi nyumbani wakitembea dog style. Very superb.
Mshana Jr, naomba upitie huu uzi