DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Huyo atakuwa Pasco mzee wa sounds of within
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana Jr ni askari kanzu anapiga bapa ile mbayaHuyo Ni . Mke wa GENTAMYCINE bila shaka maana mshana jr yupo fit Hadi Muda huu
Kama mbuzi katoroki vile.........🤪
Will huu ni mwezi wa toba[emoji1544][emoji1550]Naona poku
Nifuste inbox nitakujariYaani tangu alipoondoka saa 12 asubuhi kufuata zawadi yake ndio anaingia ndani muda huu, kalewa pomoni, anasema huko waliitiwa kula na kunywa.
Lakini jirani yetu hapa naye alishinda hizo tuzo, naona karudi na mazaga kibao, na pilau naisikia ikinukia.
Kweli mambo ya JF ni makubwa mno, hata tu kwa kiumbe huyu kurudi akiwa tilàlila inaonekana kweli mmewajaza mambo mambo mazuri. Shukrani na pongezi kwenu, tukiachana na huyu kiumbe wangu mtata.
😀😀 So ndo karudi kalewa pomoniMshana Jr ni askari kanzu anapiga bapa ile mbaya
Niliingia Migombani Street Mikocheni, nilikuwa nina assignment. Nilikucheki mida ya saa kumi, simu yako ilikuwa busy.Nipo hapa bro .. Ukapotelea wapi? Niliona mkono tuu [emoji23]
Usiposhukuru kwa kidogo basi hata ukipewa kikubwa huwezi kusema asante!
Mchuzi wa umbwa hunywewa wa moto.. ! Leo nimedamkia huko JF kwenyewe sio hapa Jukwaani [emoji23] pamoja na boda wangu kuniingiza chaka.. Akidai kuna mdudu alimkanyaga na kutufanya tupotee njia lakini bado niliwahi kuliko wenyeji[emoji1] Hivi ulishawahi kwenda kwa mtu na kukuta hata hajatoka...www.jamiiforums.com
Usiposhukuru kwa kidogo basi hata ukipewa kikubwa huwezi kusema asante!
Hapana mkuu ni kibuzi mee[emoji39]Kama mbuzi katoroki vile.........[emoji2957]
Ooh sahihi kabisa nilikuwa napokea pongezi brother mitaa ya kwa LulengeNiliingia Migombani Street Mikocheni, nilikuwa nina assignment. Nilikucheki mida ya saa kumi, simu yako ilikuwa busy.
😂😂😂Kinywaji ya taifa iyo.. Ina heshima yake [emoji23]
Kwa hiyo ni mume wenu wote?Mume hawezi kuleta chips nyumbani. Labda sponsor.
Nimetembea dog style njia nzima naongea KingerezaBujibuji Simba Nyamaume nasubiri picha ya tuzo yako? Au ndo wewe umepeleka chipsi tatu na mshikaki mmoja?
Kama umepita kwa lulenge , bila shaka umeshapendeza Naomba u drive vizuri kwa umakini 😀Ooh sahihi kabisa nilikuwa napokea pongezi brother mitaa ya kwa Lulenge
Wewe ulivyoona Kuna minyama na pombe hata zawadi uliisahau huko huko.Kwa hiyo ni mume wenu wote?