Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]GENTAMYCINE mke wako analalamika huku hela yote ya JF umehonga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afadhali wewe umeambulia mshikak na tuchips na anaweza kuwa katupitia njiani ili usichukie sana, mwingine kaingia na chupa ndogo ya maji na ipo nusu [emoji22][emoji22][emoji22]Yaani tangu alipoondoka saa 12 asubuhi kufuata zawadi yake ndio anaingia ndani muda huu, kalewa pomoni, anasema huko waliitiwa kula na kunywa.
Lakini jirani yetu hapa naye alishinda hizo tuzo, naona karudi na mazaga kibao, na pilau naisikia ikinukia.
Kweli mambo ya JF ni makubwa mno, hata tu kwa kiumbe huyu kurudi akiwa tilàlila inaonekana kweli mmewajaza mambo mambo mazuri. Shukrani na pongezi kwenu, tukiachana na huyu kiumbe wangu mtata.
Ngoja tusubiri tutajua tuuWe mama weee, umenifanya nicheke. Sidhani kama yule ndio suspect, maana naona yuko active muda huu
Sijui kisha zinduka, au bado kazima? Ngoja tumuulize mwenye mume wake spesheliNgoja tusubiri tutajua tuu
Acha upumbavu na tamaa za kutamani vya watu.Yaani tangu alipoondoka saa 12 asubuhi kufuata zawadi yake ndio anaingia ndani muda huu, kalewa pomoni, anasema huko waliitiwa kula na kunywa.
Lakini jirani yetu hapa naye alishinda hizo tuzo, naona karudi na mazaga kibao, na pilau naisikia ikinukia.
Kweli mambo ya JF ni makubwa mno, hata tu kwa kiumbe huyu kurudi akiwa tilàlila inaonekana kweli mmewajaza mambo mambo mazuri. Shukrani na pongezi kwenu, tukiachana na huyu kiumbe wangu mtata.
🤣🤣🤣 Sio yeye...Atakuwa desperate GENTAMYCINE
Pond tulikuambia mkeo Yuko humu ukabisha ona Sasa maji yameshamwagika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]DeepPond [emoji23][emoji23][emoji23] be warned my brother
Pampula[emoji1787][emoji1787]Zile katuni zilikuwa kiboko,vijana wa Leo hawawezi elewa.Nimemuona shem Mshana Jr pampula na mzinga wa konyagi, bila shaka ndie.
Nahisi neema ilikuwa inatikisika kama enzi zile za GiLeSi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanawake tunakutana na magumu sana aisee, Mungu atufanyie wepesiAfadhali wewe umeambulia mshikak na tuchips na anaweza kuwa katupitia njiani ili usichukie sana, mwingine kaingia na chupa ndogo ya maji na ipo nusu [emoji22][emoji22][emoji22]