Mume wangu alishinda tuzo ya JF, karudi nyumbani na tuchips hatufiki hata kumi, na kamshikaki kamoja

Mume wangu alishinda tuzo ya JF, karudi nyumbani na tuchips hatufiki hata kumi, na kamshikaki kamoja

Yaani tangu alipoondoka saa 12 asubuhi kufuata zawadi yake ndio anaingia ndani muda huu, kalewa pomoni, anasema huko waliitiwa kula na kunywa.

Lakini jirani yetu hapa naye alishinda hizo tuzo, naona karudi na mazaga kibao, na pilau naisikia ikinukia.

Kweli mambo ya JF ni makubwa mno, hata tu kwa kiumbe huyu kurudi akiwa tilàlila inaonekana kweli mmewajaza mambo mambo mazuri. Shukrani na pongezi kwenu, tukiachana na huyu kiumbe wangu mtata.
Afadhali wewe umeambulia mshikak na tuchips na anaweza kuwa katupitia njiani ili usichukie sana, mwingine kaingia na chupa ndogo ya maji na ipo nusu [emoji22][emoji22][emoji22]
 
Kwann umependa kutumia jina lakike na hiyo picha hii tabia mbaya sana
 
Yaani tangu alipoondoka saa 12 asubuhi kufuata zawadi yake ndio anaingia ndani muda huu, kalewa pomoni, anasema huko waliitiwa kula na kunywa.

Lakini jirani yetu hapa naye alishinda hizo tuzo, naona karudi na mazaga kibao, na pilau naisikia ikinukia.

Kweli mambo ya JF ni makubwa mno, hata tu kwa kiumbe huyu kurudi akiwa tilàlila inaonekana kweli mmewajaza mambo mambo mazuri. Shukrani na pongezi kwenu, tukiachana na huyu kiumbe wangu mtata.
Acha upumbavu na tamaa za kutamani vya watu.
 
Hapo kwenye kuhesabia chips Sasa!!, Kweli Maisha magumu [emoji1787][emoji1787]
 
Afadhali wewe umeambulia mshikak na tuchips na anaweza kuwa katupitia njiani ili usichukie sana, mwingine kaingia na chupa ndogo ya maji na ipo nusu [emoji22][emoji22][emoji22]
Wanawake tunakutana na magumu sana aisee, Mungu atufanyie wepesi
 
Back
Top Bottom