Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

[emoji4]nakuelewa mtoa mada, ila njia yako ya kutuliza maumivu jaribu kuifanyia marekebisho ,ukizini ni juu ya mwili wako hakuna unayemkomoa ,zaidi sana unatengeneza laana inayoenda tafuna uzao wako ,
We ni mpambanaji eti ,pambana tu kivingine na hizo hasira zako hamishia kwenye hobbies nyingine

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Me sijajua kama unaomba ushauri au untuelezea hali ya maisha yako yanavyoendelea
hajaomba ushauri, kaelezea reaction yake baada ya kuletewa mtoto wa nje, kwa nilivomuelewa aliona watoto wake wa kike hawana chao kwa mali walizochuma na mumewe kwani mume anasema kapata mrithi, ndo akaamua awaandalie kdogo kitu na wao, katika kuandaa huko ndo uchepukaji ukaanza rasmi, kasema povu ruksa kwa hyo mwageni povu wakuu.
 
Haina shida na wewe chepuka uzae nje ili ngoma iwe droo uondoe chuki na msongo wa mawazo ila kama mumeo ni mbabe na ana wivu usijaribu atakumaliza vibaya
 
Polesana,sikubaliani na usaliti wa mwanaume wala wa mwanamke..mpe Yesu maisha yako fanya maombi mume abadili tabia ni pepo mbaya wa usaliti kamvaa mumeo kisha kaja nA kwAko kemea kwa jina la Yesu mbona mtakaa sawa nenda eagt city center kwa pastor Katunzi atakusaidia pale kwa maombi , ONyo usiende kwa mitume na manabii.
 
Mitumi na manabii Wana shida gani kwani[emoji1][emoji1]
 
Pole sana mkuu
 
Sasa mtoto mchanga anamtambulishaje kwa majirani kuwa kafanana nae kama unavyosema!? Achaa uwongo huyo mtoto lazima atakua kaletwa ukubwani tu,na ndiyo maana inakua rahisi kumtambulisha kwa majirani kwa ufanana wao wwe ndiyo kinakukasirisha!!
 
Wewe ni malaya tu huna lolote... Endelea kufanya umalaya siku zifike ufe na maisha yako magumu yaliyojaa zinaa na tabu 😂💩💩
 
Kwa kuwa umeamua kuwa malaya..naomba unionjeshepo na mimi?
 
We ni mwanamke mpambanaji, hongera sana na pole

Ila kwani umechepuka?

Ndoa ni mapambano pia, ulipaswa upambane, ila wewe uliwaza Mali tuu...
Kuchukuliwa na mtoto ...

Huyo mtoto ni jaribu na ni baraka ungemlea na kumpenda tuu
Tea mo
 
Ukikamilisha ujenzi utaacha kuchepuka?..
All in all mwambie huyo dogo kuwa una mme.
 
Duuh
 
Vipi ndugu, bado tu hujampelekea ngoma huyo mumeo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…