Mume wangu amenitenga baada ya kupinga manyanyaso ya ndugu zake

Mume wangu amenitenga baada ya kupinga manyanyaso ya ndugu zake

gfsonwin, huyu binti anashindwa kuelewa kuwa kila mtu ni 'amiri jeshi mkuu' wa roho yake na furaha yake.

Sasa asipojilindwa mwenyewe hakuna atakayemwonea huruma, kazima uweke mpaka wa uvumilivu si kulalamika tu.

Haoni watanzania tumedhamiria hata kupigia SAU 2015? Yeye anashangaa shangaa tu na kulia.

Unaona wee ulivyokomaa sasa hivi isikite mmeo adabu 100%.
Kongosho no maana huwa nasema wanaume wanahtaj mtu mkaksi tu. nilisema sitoki kwangu na ni ful dont see me, yaani hakuna itu kibaya kama kumignore mtu hadi akajiona kama vile haish na hapo hakuna kulia tena. ifike muda mwanamke u4c haki zako za msingi lol! kimya nacho ni dawa ya mtu mwonevu.
 
Last edited by a moderator:
Daaaah aisee.....pole sana mpendwa!


Kwani ni lazima usubiri hiyo talaka ndio uende kwenu?..........kama una uwezo wa kulea wanao kwa nini usijiweke pembeni taratibu kuliko hayo mateso unayopitia?
 
Unajua nimesoma mateso unayopata na nimeumia as if wewe ni dadaangu wa tumbo moja. Kama haujadanganya hii stori (of course tunakusikiliza wewe tu) basi kwangu mimi unazo 'guts' za kuondoka kwa mumeo na kwenda kwenu. Ikumbukwe kwenda kwenu kutakupa pumbazo na tulizo la moyo. Na kwa ndugu zako au wazazi wako itawapa picha ya mkwe waliyenaye. Kuanzia hapo mambo ya Talaka yanaweza kufuatia.

Sikushauri mambo ya kung'ang'ania nyumbani kwa mumeo hapo kama walivoshauri wachangaji wengine. Kuna wanaume wengine wanaweza kukupasua kweli. Kama mtu umeshamuona ukatili wake toka una mimba hadi sasa una mtoto..pleeaase epusha msongamano..nenda kwa wazazi au walezi au ndugu zako ukapumue..Kuolewa sio waranti ya kuteswa bwana!
SnowBall huko ndiko kuwaendekea wanaume wallah natamani huyu dada awe jiran yangu nimfundishe kiburi. yaani ndani kwangu sitoki na wala habari nae sina mii bize na wanangu na wala hakuna kulia lia hapa manake ukilia ndo kumpa boichwa. kaa hapo ndani aone unavyoish pasi kuterereka na yeye yuko kama fenicha tu na unajipigilia pamba za nguvu mbona atarui huyu? wee
 
Last edited by a moderator:
unajua Kongosho ndo maana huwa nasemaga nina roho mbaya, yaani kuna wakati sifai kumshauri mtu hasa kwenye jambo kama hili. hakya Mungu angeondoka yeye humo ndani kwani huwez kumfungia vioo? kaa nyumbani mwako stail iwe ya dont see me. bize na kazi zako akitaka atafute pa kweda na siku akikusemesha moto ndo uwake uwwiiiiiiiiiiii

yaani miye nilifanya mtu hadi aka hire private investigator alihisi nitamwua kwa mchuno niliopiga bize na wanangu yeye akawa kama fenicha tu ndani na akaumia zaid kaleta kahaba nikawa ngangari sikulia tmekula kila mtu 50 zake ikawaka taa ya njano kwenye fahamu zake na hivi huyu ni mpalestina hakya Mungu ataniua hawez akawa binadam. kumbe nilitaka kumuonyeshe mimi nikisha ingia ndani sitoki labda kwa kifo na manyanyaso huko huko ndani huwez manake sikuombi hata 100 na msosi natafuta mimi kila kitu. pita nenda kwa rum na kahaba na mimi naenda kwa rum na wanagu manina wakllah mbona alisalim amri.

ukaksi ukaksi tu kama vipi achukue time yeye ila si mimi.

Hehehehehe that's mai kungwi gfsonwin lol.............wewe jasiri mpendwa hongera sana!
 
Last edited by a moderator:
SnowBall huko ndiko kuwaendekea wanaume wallah natamani huyu dada awe jiran yangu nimfundishe kiburi. yaani ndani kwangu sitoki na wala habari nae sina mii bize na wanangu na wala hakuna kulia lia hapa manake ukilia ndo kumpa boichwa. kaa hapo ndani aone unavyoish pasi kuterereka na yeye yuko kama fenicha tu na unajipigilia pamba za nguvu mbona atarui huyu? wee

Kungwi mfundishie hapa hapa labda atakuelewa lol!
 
SnowBall huko ndiko kuwaendekea wanaume wallah natamani huyu dada awe jiran yangu nimfundishe kiburi. yaani ndani kwangu sitoki na wala habari nae sina mii bize na wanangu na wala hakuna kulia lia hapa manake ukilia ndo kumpa boichwa. kaa hapo ndani aone unavyoish pasi kuterereka na yeye yuko kama fenicha tu na unajipigilia pamba za nguvu mbona atarui huyu? wee

Hebu isome tena stori yenyewe halafu unambie kama kung'ang'ania kwa mumewe kuna msaada wowote kwake kwa sasa. Kuna mazingira mke anaweza sema sitoki tutabanana hapa. Lakini kwa huyu mzazi ambaye pengine hana hata msaada sioni kama ni mantiki.
 
Hehehehehe that's mai kungwi gfsonwin lol.............wewe jasiri mpendwa hongera sana!

yaani sweetlady ukija kwangu nakupa ushauri uwe ngangari siyo nenda beba virago ondoka hapana. inabidi tueke mkakati wa kuwatimua wao wala sio sisi kutimka khaa! mbona kuna watu wanakomaa hadi baba anabeba virago na akienda vikimshinda anarudi na begi lakae kam mkimbizi? hatujaamua tu.
 
Last edited by a moderator:
Hebu isome tena stori yenyewe halafu unambie kama kung'ang'ania kwa mumewe kuna msaada wowote kwake kwa sasa. Kuna mazingira unaweza mke anaweza sema sitoki tutabanana hapa. Lakini kwa huyu mzazi ambaye pengine hana hata msaada sioni kama ni mantiki.

aliwezaje kujilea hadi hapo alipofika? afikir njia za kujikmboa kiuchumi aache kwenda kuwa tegemezi kwa ndugu ambao mwisho itakuwa ni kumsema tu. simsauri hivyo kwani hata huko kwao wazazi watachoka atii............. inatakiwa afikirie jinsi ya kujikwamua tena kama walishajenga ndo poa kweli unabaki kwenye nyumba ya bure unafanyabiashara hata za kijinga alimradi ajimudu kimaisha ndipo pa kujiingiza kwenye vikoba na saccos hapo achangamke mjini hapa si kulia lia tu. uwiiiiiiiiiii!
 
yaani sweetlady ukija kwangu nakupa ushauri uwe ngangari siyo nenda beba virago ondoka hapana. inabidi tueke mkakati wa kuwatimua wao wala sio sisi kutimka khaa! mbona kuna watu wanakomaa hadi baba anabeba virago na akienda vikimshinda anarudi na begi lakae kam mkimbizi? hatujaamua tu.
gfsonwin mie naona wengine wanashindwa vile labda hawawezi kujitegemea.....hebu chukulia mwanamke hana kazi afu mume anamtimua......hivi unadhani atafanya nini zaidi ya kulia lia na kumlamba mume miguu?
 
Last edited by a moderator:
anasema kwanini nilikataa kuhamia kijijini nikaishi nimlee mama yake....ni kweli niligoma kumwacha mume wangu mjini na kwenda kuish kijijini na mama mkwe,jambo ambalo lilileta chuki na hasira kwa wifi zangu na mama mkwe mpaka kufikia hatua ya kumshawish kaka yao aniache aoe mke mwingine, na ndipo nilipomwambia kabla hajaoa aniache kwanza mimi ndipo aoe,Akakataa

Ukamlee wewe kwani we mwanae? Hao bint zake wao hawana uchungu na mama yao mpaka we ukawe nao kiasi cha kuiacha ndoa yako mjini? Usiusogeze hata ukucha wako eti unaenda mlea mkweo, gangamala mpaka shetani ajue kuwa mwanamke umeamua. Pia usisahau kusugua goti dada kwa maexperience zaidi ktk mambo ya kuomba muone dada gfsonwin
 
gfsonwin mie naona wengine wanashindwa vile labda hawawezi kujitegemea.....hebu chukulia mwanamke hana kazi afu mume anamtimua......hivi unadhani atafanya nini zaidi ya kulia lia na kumlamba mume miguu?

hapo pia ndo ambapo wanawake tunakosea sana manake kama kuwa goli kipa jamani tubadilike hata ile kodi ya meza save mia mia ili ujichezee kamcezo uate mtaji wako manake haya maisha si rahisi kiivyo kama wanavyofikiri.

katika utumwa ambao tunapaswa kuuepuka ni ule wa kuwa tegemezi kiuchumi kwa wanaume yaani hio ndo hutumika kama kitanzi aisee. mimi huwa ni mkali sana kwa wanawake wa aina hii wallah kuliko uteseke eti kisa huna mtaj nitafute nikupe kwa riba ukomboke lol!
 
hapo pia ndo ambapo wanawake tunakosea sana manake kama kuwa goli kipa jamani tubadilike hata ile kodi ya meza save mia mia ili ujichezee kamcezo uate mtaji wako manake haya maisha si rahisi kiivyo kama wanavyofikiri.

katika utumwa ambao tunapaswa kuuepuka ni ule wa kuwa tegemezi kiuchumi kwa wanaume yaani hio ndo hutumika kama kitanzi aisee. mimi huwa ni mkali sana kwa wanawake wa aina hii wallah kuliko uteseke eti kisa huna mtaj nitafute nikupe kwa riba ukomboke lol!

Ubarikiwe kungwi.....umejaaliwa moyo wa kipekee..........ni wanawake wachache wenye moyo kama huo wako! Mleta mada sijui kaenda kunywa supu lol!
 
Ubarikiwe kungwi.....umejaaliwa moyo wa kipekee..........ni wanawake wachache wenye moyo kama huo wako! Mleta mada sijui kaenda kunywa supu lol!

ifike mahali tujikomboe wenyewe hivi wapenda mateso tuyapatayo kwa wababa? sipend kuona mwanamke anateseka kwa mwanaume bana tuish kama binadam bana hakuna aliyezaliwa na mwingine akanyewa tu.
 
i see mi sililii mwanaume nilimkurupusha tangu dogo alivyokuwa tumboni baada ya kuona analeta ubrazameni yaani usela mavi nkamkatia mawasiliano manake ni bira mtu ujielewe kuwa ni single parent ili ujipange kuliko kuhesabia un mume lakini hewa sina habari nae na simu yangu nimeblock hana access upuuzi wa kuumiza kichwa bila sababu no, wapuuzi sana hawa viumbe kwakweli.wananitia hasira sana ila haina haja ya kulia unakomaa mwenyewe unasimama kabisa,kulia na kusononeka kunakuzeesha na kukupa maradhi ya moyo ufe uwaache wanao bure na yeye aendelee kula goodtimes lol sikushauri kurudi home kama vipi yeye asepe akaanze life mpya na familia nyingine kama ameamua kuianzisha mpotezee kabisa
 
Jf bhana,unapata kila kitu sa hivi nimeshampata kungwi gfsonwin.Kiukweli nimependa msimamo wako.
 
Toka aambiwe kuwa arudi kwao angerudi angekuwa mbaaaaaali


i see mi sililii mwanaume nilimkurupusha tangu dogo alivyokuwa tumboni baada ya kuona analeta ubrazameni yaani usela mavi nkamkatia mawasiliano manake ni bira mtu ujielewe kuwa ni single parent ili ujipange kuliko kuhesabia un mume lakini hewa sina habari nae na simu yangu nimeblock hana access upuuzi wa kuumiza kichwa bila sababu no, wapuuzi sana hawa viumbe kwakweli.wananitia hasira sana ila haina haja ya kulia unakomaa mwenyewe unasimama kabisa,kulia na kusononeka kunakuzeesha na kukupa maradhi ya moyo ufe uwaache wanao bure na yeye aendelee kula goodtimes lol sikushauri kurudi home kama vipi yeye asepe akaanze life mpya na familia nyingine kama ameamua kuianzisha mpotezee kabisa
 
Umeona eeh

Kulia kunazeesha si mchezo

Mimi nilishajiwekea utaratibu wa kutafuta cha kunichekesha kabla sijaenda kulala.

Wakati mwingine kabla sijalala najikumbusha comment ya hajabu nilokutana nayo JF...basi nacheka wee. mpaka napitiwa na usingizi. Vya kuchekesha vingi ujue.

Sasa baba nanii kama anataka kunizeesha kwa kilio ajue amegonga mwamba...atalia yeye.
Lol.

i see mi sililii mwanaume nilimkurupusha tangu dogo alivyokuwa tumboni baada ya kuona analeta ubrazameni yaani usela mavi nkamkatia mawasiliano manake ni bira mtu ujielewe kuwa ni single parent ili ujipange kuliko kuhesabia un mume lakini hewa sina habari nae na simu yangu nimeblock hana access upuuzi wa kuumiza kichwa bila sababu no, wapuuzi sana hawa viumbe kwakweli.wananitia hasira sana ila haina haja ya kulia unakomaa mwenyewe unasimama kabisa,kulia na kusononeka kunakuzeesha na kukupa maradhi ya moyo ufe uwaache wanao bure na yeye aendelee kula goodtimes lol sikushauri kurudi home kama vipi yeye asepe akaanze life mpya na familia nyingine kama ameamua kuianzisha mpotezee kabisa
 
Me naomba niulize,hivi kama huyu dada angekuwa amefunga ndoa ya kikristo angefanyaje?inamaan asingeweza kuachika mpaka mmoja afe?na asingeweza kuolewa tena?na kama angepata man mwingine angeishi nae tu lakini bila kutambulika kama ni mke?naomba nielimishwe wadau..
 
Back
Top Bottom