Mume wangu ananipa laki 5 kila mwezi mama anadai hazitoshi nirudiane na x wangu

Achana na mama yako.
Endelea na mumeo, laana asiyo na sababu haimpati mtu. Asikufanye wewe ndio kitega uchumi chake.

Umekuwa sasa achana na mambo ya zamani, jenga familia yako.
Kumbuka majuto ni mjukuu.
 
Mshauri mama yako aanze kugongwa na huyo mbaba, ili akusaidie majukumu kwa sababu uko mbali, ili muweze kuvuna pesa kote ndio itakua faida kwenu, na wala hakuna tatizo mama yako akianza kumpa tunda huyo mbaba maana ndio biashara yenu ya kuuza uchi itakua nzuri na yenye faida
 
Ni chai ila kama inatokea hivi rahisi tu. Unamwambia huyo Mamayo akatembee na Ex wako yeye apate pesa nyingi.
 
Kama ana namba za huyo mbaba mwambie amalizane nae tu atatue shida zake za za wadogo zako,.

Ila kuna wazazi wengine wachachi sana🤒
 
Mwambie Mama yako amfuate huyo Baba awe mpenzi wake au mchepuko wake, huyo mama yako sio kabisa, ana tamaa sana huyo, mwambie huyo baba awe anamtia atampa fedha, ila nyie binadamu nyie
 

Nakupa sehemu mbili sababu zipo nyingi za true stories hizo za watu binafsi

ukayajue usiyoyafahamu ya dunia

Insta
Iddi
Makengo
Kibongo bongo hapa

Na
Tn_
World
Waki westi
 
Kama ana namba za huyo mbaba mwambie amalizane nae tu atatue shida zake za za wadogo zako,.

Ila kuna wazazi wengine wachachi sana🤒
Kwa ufupi mama yake ni hamnazo, inaonekana anamdharau Mume WA mwanae wakati mambo ya uchumi hubadilika Mume WA huyo dada anaweza kupata uchumi mkubwa zaidi ina maana mama anaweza kumpa tunda mkwe wake
 
Huyo mbaba mwenyewe anasema kama bado ananipenda.. Eeeh sio yeye anampenda

Hapo lazima awapige la uso kwa Tamaa zao..

Na alimsomesha akasepa 🤣🤣🤣

Binti mjinga.. Though Mama yake alivyo hata kurogwagwa atamfanyia hivyo
 
Iyo familia ina laana ya kurithi...inahitaji ukombozi
 

Ungemshauri mama yako amchukue huyo mbaba.. ili faida yote ale yeye.
 
Kwa ufupi mama yake ni hamnazo, inaonekana anamdharau Mume WA mwanae wakati mambo ya uchumi hubadilika Mume WA huyo dada anaweza kupata uchumi mkubwa zaidi ina maana mama anaweza kumpa tunda mkwe wake
Na hapo utashangaa hadi anaenda kwa mganga amroge mwanae arudi kwa Mbaba
 
Umesomea chuo Cha ukahaba na ipo siku ukahaba wako wataulisi hao wadogo zako na kama wanaume wanaweza kuuza ushindi wao achana na upumbavu wanasemaj MJINGA NI MJINGATU HATA UKIMFICHA KWENYE CHUPA ATAWASHWA NA KUNYOSHA KIDOLE JUU shenzi kabisa ww
 
Sasa si afadhari ungekubali kuwa mke wa pili kwa huyo x wako?
Wanaume tunaooa nyakati hizi tuna kazi kweli kweli! Unakuja kuoa used kabisa! Eti na wewe uko kwenye majukumu yako unajua umeacha mke nyumbani kumbe ni x wa mtu!
 
fanya hivi ,mwombe mumeo mtaji wa Milion 6 ,mwelezi kina kirefu anasema

Ukinipa Milion 6 kwa mpigo mwezi wa 5 na 6 ,niende gairo au mbalali ...nikanunua mpunga niweke store hukohuko na nitapata mkataba.

Kwa kuwa gunia 1,huuzwa 70 k kwa Milion 6 naweza pata gunia 85 hadi 89au 90 niliweka store mwezi kama huu unauza hadi 160 k hivyo nitakuwa nimezalisha maradufu

Ukifanya hivyo mwaka mmoja tu ,utaanza kuwahudumia nduguzako

Pia ,mama Ako mwambie aache mbwembwe ....atakuwa liwa mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…