Mume wangu ananipa laki 5 kila mwezi mama anadai hazitoshi nirudiane na x wangu

Kuwatetea wanawake ni kazi ngumu sana aisee. Juzi kuna uzi nilikuwa napinga wanawake kupigwa ila kupitia huu uzi natengua utetezi wangu na kusema WAPIGWE TU kama sababu ipo. Pia amri ya USIUE kwenye zile amri 10 za biblia inabidi ifanyiwe marekebisho kidogo ili kueandana na mahitaji ya sasa.
 
Mvumilie tu maana kama ana huo moyo wa kutoa laki5 iko siku atapata. Sahivi ushazeeka kurudi kwa mbaba akakuhudumia kama mwanzo, bythway yuko na katoto kengine, ni katabia kuacha kagumu 😂
 
Maskin namuone huyo mme wako huruma kuoa ukoo wa kikahabaa ,,nakushauri uondoke umuache mkaka wa watu atafute mke ww nenda dar ukasomeshe wadogo zako na pia umtunze mamako Kwa kujiuza
 
SASA MBONA JAMBO SIMPLE HILO CHUKUA NAMBA YA HUYO BWANAAKO MPE MAMAAKO ILI AWE ANAPEWA HIZO HELA YEYE
 
Duh aiseee mkiuliwa tunaanza kuwalaumu wanaume
 
Kama ni kweli wale wanaosemaga baadhi ya wazazi wa kike tunaharibu watoto ni dhahiri hawakukosea.
 
Dunia ina maajabu jamani, mama mzazi ana co-sign umalaya wa mwanae duuuh
Hali ndivyo ilivo siku hizi, wazazi wana dictate mahusiano ya watoto wao wa kike, haswa kama kamsomesha kwa gharama.
Next time ukiona unasumbuliwa na mkeo, jua kuwa unadeal na maamuzi ya kijiji na sio mtu mmoja!
 
Ulilelewa na mama mpumbavu,mshenzi,taahira,kakakuona n.k!

Alikua anakutimukisha kingono na umebeba laana usipotubu utavunja na ndoa yako!

Nenda kampige kofi huyo mama Kwa ujinga huo!
 
Hii ng’ombe inasema kipato 3m na kupewa matumizi 500k kwa mwezi ni kidogo wakati, all she can offer is pussy😂😂😂😂
 
Kwa nini mama mtu asiende kwa mubaba yeye maana ulichonacho wewe na yeye anacho ila maisha bhana😂😂😂😂
 
TATEPA
 
Nlipofika hapo kwenye kipato kidogo milioni 3 , mmmh Chaiiiii☕☕
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…