Mume wangu ananipa laki 5 kila mwezi mama anadai hazitoshi nirudiane na x wangu

Duh ! huyo mama yako atakuwa ni lishangingi fulani hivi kiaina. Kama ni pesa si aombe kwa mmewe ambaye ni baba yako, watoto wa kike mara nyingi ni marafiki wa baba, wewe urafiki na mama yako una vinasaba vya nyote kuwa malaya wakubwa. Hapa timu kataa ndoa wameshashinda mapemaa!!
 
Nachoshukuru umri wa kuoa umeshapita.
 
Huyo mama yako ni mpuuzi, aende akatombwe yeye apewe pesa ya matumozi na kusaidia ndugu zake
 
Pesa ni tamu, zinaweza kuondoa kabisa utu. Sishangai, nimeshaona mama mmoja aliyemshawishi binti kuachana na boyfriend akawe nyumba ndogo ya mtu
 
Pesa ni tamu, zinaweza kuondoa kabisa utu. Sishangai, nimeshaona mama mmoja aliyemshawishi binti kuachana na boyfriend akawe nyumba ndogo ya mtu
Kuna mama mmoja tena mlokole alikuwa akimpigia debe binti yake nimuoe, nilijua fika anafanya vile kwa maslahi binafsi
 
Mamako sio Mungu, na yeye ana tabia zake chafu ambazo ukizifuata utapotea kwenye raman.
 
hii hadithi bandia hap utapata idiots wengi as usual lakini sio mimi
Inaweza kua chai kweli ila huwez amini kuna mtu wangu wa karibu namfaham anaishi maisha hayo. Na mama yake anamsapoti kwa kua danga linawapa hela.
 
Mama yako atakuwa ana sura ya babu yako vinginevyo angechukua sura ya bibi yako angezeeka na uzuri wake na X wako ingekuwa rahisi kupita nae kwa huo uroho wa pesa.
 
Kwa sasa mumeo ana thamani kubwa kuliko baba na mama yako.
 
Fuata ushauri wa mama yako ni ushauri mzuri sana Ili ukazeekee kwenu

Wanawake tuna changamoto sana, hio laki 5 unayopata mamaako anaona ndogo yeye babaako alikua anampa shilingi ngapi?

Kuna wanawake wenzio waume zao Wana mshahara mikubwa kuliko wa mumeo na wanahangaika kuhudumia familia wenyewe

Ndio maana wanaume wanawaficha wake zao kwa ajili ya ujinga huu, mshahara wa mumeo ukoo mzima wanaujua kwa ajili ya kimdomo

Akiii za kuambiwa changanya na zako
 
Wewe na mama ako kama sio wachaga nipewe sumu nife
Hilo kabila halifai hata kuwa nae kwenye mahusiano 🚮🚮
 
Malaya huzaa malaya.

Ova.
 
hii ni moja tu wa familia ambazo umalaya uko kwenye damu hata wapewe kitu gani lazima wachepuke tu, huku mtaani wanaitwa nito***e nikale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…