Mume wangu hapendi kula nyumbani

Mume wangu hapendi kula nyumbani

Ukiona hali kwako jua kuna sehemu anakula. Na sababu ya mwanaume kula kwa mkewe sio tu utamu wa chakula. Muda mwingine mtu anaweza kosa hamu ya kula nyumbani sababu kuna vitu ambavyo vinamnyima furaha kwa mkewe hadi akiona chakula anapatwa na hali ya kukifu.

Kaa nae chini muulize taratibu. Tena njia nzuri tumia text yaani sms ili umpe nafasi ya kupumua wakati akikujibu. Tena umuulize kwa upendo na upole wa hali ya juu na usichoke wala kukata tamaa akionyesha kushindwa kukujibu au kukuficha endelea kumbembeleza.
 
Anaonja onja tu ndo maana simuelewi hizi ndoa tunaolewa tu kuweka heshima Ila ni mateso tu. Bora mtu ubaki single.
Hayo sio mateso ndio raha ya ndoa yenyewe hiyo. Hakuna kitu hapa duniani kisichokuja na kero zake kikawa raha mwanzo mwisho.

Shule utapenda kusoma ila kuna kero zake mitihani, kukesha kusoma, kuandika notes ila ina raha zake maisha ya uanafunzi, kutumiwa pesa na wazazi na ndugu na jamaa,boom, uhuru wa chuoni, etc.

Kumiliki gari utapata shida kulipia gharama zake kama service, bima, mabao ya traffic ila utapata heshima uraiani, usafiri utakulinda na jua /mvua, utawahi safari zako mbele ya wakati etc.

Ajira utapewa majukumu ya kumalizwa kwa wakati maalumu, utafokewa na kulaumiwa, utapigwa majungu, utapata pressure etc ila unapata mshahara, utakuwa na heshima, utaaminika, utapewa attention kwenye jamii, access ya mikopo etc.

Ndoa, utapishana na mwenza wako, utalazimika kubadili mienendo ambayo mwenzako ni kero kwake hata kama kwako si kero, utatakiwa kuwajibika kumjali mwenzako kimwili na kihisia hata kama haupo tayari, utalazimika kuvumilia vitabia na kero ndogo ndogo, wivu wa mara kwa mara, huzuni asipojali hisia zako kwa wakati, kuvunjika moyo pale unapoona mambo yanakuzidia. Ila upande wa pili, ndoa ni security kubwa sana ya kihisia, na kimwili, mwenzako anakulindia masilahi yako unapokuwa haupo, siri zako, unapokwama kuna mtu wa kukupa backup nyakati tofauti tofauti, faraja ya maisha maana pale unapokuwa umechoka kihisia mwenzako anakuja kukushika mkono na kukunyanyua muendelee, kupata rafiki wa kudumu kwenye maisha, kupata mtu wa kukudekeza na kukujali baada ya kutoka kwa wazazi wako, kuwa na mji wako na watu wako yaani familia.

Nadhani umetazama zaidi hasara umeacha faida wakati zipo tena nyingi tu.


So jikaze na hili litapita zungumza na mwenzako taratibu mrejeshe furaha. Hakuna maisha mabaya kwa mwanamke kama nje ya Ndoa acha kujidanganya kama unabisha achana na huyo ambaye hali upate anae kula halafu uone balaa lake.
 
Nilipiga teke aseeh vyombo vyote na nililia then nilipata hasira Sana miye nipike afu usile,why?!!Tena anachokipenda ,mi Sio jeuri Kwa me ila nilichukia mnoo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji2960]
Aisee 😂
Mimi hiyo jeuri sina aisee
 
Aisee [emoji23]
Mimi hiyo jeuri sina aisee
Ukikua utajua TU[emoji16][emoji16][emoji2960][emoji2960] namuelewa sana miss Chuga,usiombe usiwe chakula na mwanaume inauma inapinch inafukuta balaaa ..Mimi siku Moja TU nililia na kupiga teke yeye Kila siku ,Mimi sijui ingekuaje
 
Ukikua utajua TU[emoji16][emoji16][emoji2960][emoji2960] namuelewa sana miss Chuga,usiombe usiwe chakula na mwanaume inauma inapinch inafukuta balaaa ..Mimi siku Moja TU nililia na kupiga teke yeye Kila siku ,Mimi sijui ingekuaje
Inauma sana,nawaelewa ila kwa kichwa cha huyu wangu kilivyo😂🤣
Mbona moto utawaka😂😂
Alivyo na hasira.
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana kwa jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni kama tu hali Ila anagusagusa, kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Je wakati anakula unampa uhuru au ndio unaanza kuuliza habari za Glory cheupe?.
Sio wakati anakula wewe ndio unaanza habari za watoto wana matatizo au unataka hela ya sare ya kikundi?.
Wanaume kwa kawaida njia ya kuufikia moyo wetu iko kwenye chakula kizuri ila cha msingi kiliwe kwa utulivu wa hali ya juu.
Jambo la pili kupika chakula kitamu ni jambo moja ila wajua taste ya mume wako kwenye chakula?
Kwa mfano mimi naoenda sana wali maharage. Hata mke wangu akipika wali kuku kama hamna maharage pembeni naona kapika matope tu.
Chakula kizuri kwa mume wako siyo kile unachokipenda au wanachosifia wengine ila kile anachofurahia.
Mwisho kabisa.... MUME WAKO ANA MCHEPUKO!
 
Huyu hanywi pombe kabisa yani ananiumiza sana akili, kuna kipindi dada yake alikuja nikafanya makusudi nikamuomba anisaidie kupika nia yangu nimuone Kama akirudi atakula alichopika dada yake pia nacho hakula hapo ndo nilipozidi kuona kuwa Kuna tatizo mahali.

Sasahivi nimeshakuwa Kama chizi sijiamini tena kila anayekuja akila chakula changu namuuliza hivi ni kitamu wananiambia ndio na wanavyokula pia unaona kabisa wanakifurahia sasa huyu mme wangu simuelewi, sijui anafanya hivi kunikomoa
Inaonyesha unampenda sana mumeo,na kashajua unampenda na huwezi kumuacha,Cha kufanya acha kimfatilia kikubwa endelea kimpikia tu vizuri,hasa chakula kile anachokipenda,akila vizuri au asipokula vizuri hiyo ni juu yake,Hawa watu Huwa hawabebeki hasa wakijua wanapendwa usiumize kichwa chako kwa mtu mzima mwenye akili na anayejua Nini anafanya
 
Wote mnaochangia hii mada hamujaelewa!

Mwandishi anasema hivi mme wake hampigi pipe! Nyie mmekazana na kudhani chakula cha mezani

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana kwa jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni kama tu hali Ila anagusagusa, kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Kama wengine wanakula wanakisifia kwamba unajua kupika.Hapo ndipo shida.Chakula cha mumeounawapaje wengine?
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana kwa jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni kama tu hali Ila anagusagusa, kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Wanawake mnapenda sifa,huwaga tunawasifia tu mmepika vzr hata kama mmekoroga tu,wanaume wngi tupo sensitive na quality wa chakula,nikiona unapika ili mradi tu nijaze tumbo na huko njw kuna migahawa ya maana kama kwa sele bonge au swahili food,kwako nitakuwa nakuja nikiwa nimeshashiba kabisa,makorokocho yako walishe watoto wako...
 
Hao wageni wanakula free meal lazima wakusifie tu hata kama kibaya. Chunguza ujue kama anakula nje ama la. Kwani huwa hamtoki OUT uone huko anakula vipi?

Kwenye sherehe mkienda ulaji wake upoje? Je wakati wa uchumba alikuwa anafurahia mapishi yako? Mbona kama vile humjui kabisa mumeo?
Wageni kama Wageni, haaa😀
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana kwa jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni kama tu hali Ila anagusagusa, kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Ulisoma boarding? Ukinijibu nitatoa comment kwa sasa a reserve it.
 
Back
Top Bottom