Mume wangu hapendi kula nyumbani

Mume wangu hapendi kula nyumbani

Itakuwa pombe... malalamiko kama haya alikuwa anayatoa mama yangu...

Enzi hizo alikuwa anampikia dingi minyama mizuri, halafu mzee anakuja huko kashapiga pombe zake, anagusagusa.. mkiamka asubuhi unakuta chakula chote kimechacha... amakula vijiko nne kaacha hapo
Hilo jina lako mkuu! Balaaah kama wazee wa Casablanca.
 
Dah
Mumeo kama ni mnywaji wa pombe mpikie vyakula vya kilevi.

Cheza na vitu vya kukaanga.. kama ndizi za kukaanga;, viazi na nyama za kukaanga.

Pia mpikie michemsho chemsho kama ndizi za kuchemsha na masupu supu ya nyama nyama za kuchemsha .

Kutegemea mtu alietoka kunywa bia ale wali maharage kisa umeunga na nazi ni upumbavu.

Hata mpishi atoke mbinguni kuna vyakula mtu alietoka kunywa pombe hawezi kula
Dah Yaani kama we no mwenye mume Kwa comment hii
 
Mumeo kama ni mnywaji wa pombe mpikie vyakula vya kilevi.

Cheza na vitu vya kukaanga.. kama ndizi za kukaanga;, viazi na nyama za kukaanga.

Pia mpikie michemsho chemsho kama ndizi za kuchemsha na masupu supu ya nyama nyama za kuchemsha .

Kutegemea mtu alietoka kunywa bia ale wali maharage kisa umeunga na nazi ni upumbavu.

Hata mpishi atoke mbinguni kuna vyakula mtu alietoka kunywa pombe hawezi kula
Sahihi mimi jamaa ilikuwa hivyo hivyo,mkewe alikuwa anampikia vya kama wa wapemba,chapati rost maini,tambi,chapati na aina hiyo ya misosi! Jamaa zake ugali samaki au nyama😃😃
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana kwa jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni kama tu hali Ila anagusagusa, kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.

Nina uzoefu na hili, utakua hujui kupika, na hata kama unajiona kupika mumeo ha enjoy pishi lako. Wanawake wengi hudhani kwamba kukaanga sana ama viungo vingi ndio kujua kupika. Fanya utafiti mumeo anapenda vyakula vya aina gani. Jaribu kumuachia mtu mwingine apike hapo nyumbani utizame je mume atakula au la. Mumeo ni mstaarabu sana ndio maana anakaa kimya. Mi mke wangu nilimsimanga sana mpk akaenda VETA kusoma mapishi
 
Sasa kula ale mwingine halafu utuulize sisi? Tutajuaje Kwa Nini Hali??? Mambo mengine si ya kuulizana wenyewe huko chumbani?! Uwe unamuuliza kwanza kabla ya kupika mwambie ataje snachotaka kupikiwa na akute umekiandaa vzr halafu mpakulie na mle pamoja sio unamuacha ale peke yake! Kama hayo yatashindikana muulize Kwa upole kwamba haufurahii yy kutokula chakula chako na hiyo Hali inakuuuma
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana kwa jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni kama tu hali Ila anagusagusa, kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
unampa Yass?
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana kwa jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni kama tu hali Ila anagusagusa, kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Ebu muonjeshe 0714
 
Inawezekana akitaka kukwambia anashindwa sababu huwa unaanza kujitetea badala ya kumuelewa. Wanaume hatupendi kurumbana na wanawake zetu majumbani. Tunataka utulivu na amani.

Muda mwingine mtu anatamani akwambie kuwa unakosea hapa na hapa kwa nia nzuri tu ila kwasababu ya haiba zenu wanawake kutokuwa wavumilivu na wastahimilivu plus mkiambiwa jambo mnaligeuza personal dakika hiyo hiyo,ndio maana kuna wanaume wanaona bora wakae kimya na kukwepa majibizano ambayo hayana faida kwao.
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana kwa jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni kama tu hali Ila anagusagusa, kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
atakuwa Manyanya huyo
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana kwa jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni kama tu hali Ila anagusagusa, kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Itakuwa anakunywa sana pombe
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana kwa jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni kama tu hali Ila anagusagusa, kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
inawezekana unajua sana mupika lakini je inajua mmeo hupenda kula nini? au wewe unajipikia tu?
 
Back
Top Bottom