Mume wangu hapendi kula nyumbani

Mume wangu hapendi kula nyumbani

Mumeo kama ni mnywaji wa pombe mpikie vyakula vya kilevi.

Cheza na vitu vya kukaanga.. kama ndizi za kukaanga;, viazi na nyama za kukaanga.

Pia mpikie michemsho chemsho kama ndizi za kuchemsha na masupu supu ya nyama nyama za kuchemsha .

Kutegemea mtu alietoka kunywa bia ale wali maharage kisa umeunga na nazi ni upumbavu.

Hata mpishi atoke mbinguni kuna vyakula mtu alietoka kunywa pombe hawezi kula
Huyu hanywi pombe kabisa yani ananiumiza sana akili, kuna kipindi dada yake alikuja nikafanya makusudi nikamuomba anisaidie kupika nia yangu nimuone Kama akirudi atakula alichopika dada yake pia nacho hakula hapo ndo nilipozidi kuona kuwa Kuna tatizo mahali.

Sasahivi nimeshakuwa Kama chizi sijiamini tena kila anayekuja akila chakula changu namuuliza hivi ni kitamu wananiambia ndio na wanavyokula pia unaona kabisa wanakifurahia sasa huyu mme wangu simuelewi, sijui anafanya hivi kunikomoa
 
Kama ni sa hivi mpe muda,sometimes apetite inakata kwa sababu mbalimbali,kama kuna mengine utakuja kuyajua tu.
Yaani hakuna kitu kinaumiza Kama unapika akili yako yote unaiweka jikoni ili mmeo afurahie chakula halafu analambalamba anaacha na nina uhakika atakuwa anakula huko nje coz akija anakuwa na kitambi pia ana afya nzuri tu yaani kwa jinsi anavyogusa gusa chakula angekuwa Hali nje angekuwa na afya ya mgogoro sana.
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana ka jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni Kama tu hali Ila anagusagusa Kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Huna haja ya kujihangaisha. Kwanza, muulize ni kwanini hapendi kula nyumbani na usikie utetezi au sababu zake. Ukitaka kujua kama anakutega, ima acha kupika au pika ule na usimbakizie uone itakuwaje.
 
yani hakuna kitu kinaumiza Kama unapika akili yako yote unaiweka jikoni ili mmeo afurahie chakula alafu analambalamba anaacha na nina uhakika atakuwa anakula uko nje coz akija anakuwa na kitambi pia ana afya nzuri tu yani kwa jinsi anavyogusa gusa chakula angekuwa Hali nje angekuwa na afya ya mgogoro sana
1. Kuwa mpole usipanic maana utaharibu mambo na utayafanya kuwa mazito zaidi,
2. Mpe muda uone kama hali itaendelea hivi
3. Zungumza nae suala la kula nje kuwa hupendi hiyo tabia kama ni muelewa atahisi kile unachojihisi moyoni ila kama ana nyendo zake hutaona mabadiliko yoyote yale.
4. Asipobadilika basi komaa na maisha yako kula vizuri,lala vizuri lea wanao vizuri tena usijipe presha mind your own business Yaani usimfuatilie kwa chochote kile ila hakikisha tu unafanya sehemu yako kama mke kama ni chakula pika kama kawaida acha mezani akija mfungulie mlango mpokee vizuri mkaribishe mezani akitaka kula shukuru Mungu asipotaka kula shukuru Mungu zaidi maana kakupunguzia mzigo wa vyombo kisha nenda chumbani mvue nguo akaoge akitaka kulala shukuru Mungu akigoma shukuru Mungu zaidi maana kakupunguzia harufu ya mijasho ya usiku kucha
 
Thread 'MREJESHO: Simuelewi mume wangu' MREJESHO: Simuelewi mume wangu

HUYO MUMEO HUYO...KUNA KITU KINACHOKUFANYA UNG'ANG'ANE HAPO...SI BURE...HAIWEZEKANI KERO ZOTE HIZO...MPAKA LEO BADO WALALAMA TU...

USITUSUMBUE KWA TABU ZAKO...CHA KUFANYA NA KUAMUA UNACHO...ILA UNATAKA USUMBUE MAHAKAMA TU...

KAMA UMEFATA PESA KWENYE HIYO NDOA...KULA PESA...YALIYOBAKI YASIKUUMIZE... VUMILIA KAMA UNAVYOVUMILIA...KAMA ULIFATA RAHA ZA NDOA...HAPO SI MAHALA PAKE...

LABDA UTUAMBIE HAO NI WAUME WAWILI TOFAUTI...
 
Ukisoma mada zilizopita za huyu dada utagundua either Plug hazichomi vizuri au anatunywesha chai usiku
FB_IMG_16736758773368670.jpg
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana ka jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni Kama tu hali Ila anagusagusa Kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.
Pole sana Dada.

Mimi Mke wangu akiwepo yaani kama hajasafiri sijawahi kula nje ya nyumbani.

Maama anajua kupika mpaka nasema labda ananiloga.
Mashoga zake hadi wanamuonea wivu.

Kuna raha ya kula chakula cha nyumbani bwana.
 
Mumeo kama ni mnywaji wa pombe mpikie vyakula vya kilevi.

Cheza na vitu vya kukaanga.. kama ndizi za kukaanga;, viazi na nyama za kukaanga.

Pia mpikie michemsho chemsho kama ndizi za kuchemsha na masupu supu ya nyama nyama za kuchemsha .

Kutegemea mtu alietoka kunywa bia ale wali maharage kisa umeunga na nazi ni upumbavu.

Hata mpishi atoke mbinguni kuna vyakula mtu alietoka kunywa pombe hawezi kula
Wazee wa matapu tapu🤣🤣
 
yani hakuna kitu kinaumiza Kama unapika akili yako yote unaiweka jikoni ili mmeo afurahie chakula alafu analambalamba anaacha na nina uhakika atakuwa anakula uko nje coz akija anakuwa na kitambi pia ana afya nzuri tu yani kwa jinsi anavyogusa gusa chakula angekuwa Hali nje angekuwa na afya ya mgogoro sana
Mimi nadhan ni busara kutokaribisha fikra zisizojenga. Subiri ujue ukweli. Tafuta ukweli wa mambo. Kula nje sio dhambi,je ni kwanini ale nje na wapi?
 
Some time ndo tulivyo maana i can see myself kabisa kabisa . Yani I don’t eat namwili amazing . Ila pika uwezavyo ni 3 -5 spoons unless it’s new , kikinikera nakiacha hapo . Nasepa.. solution yake ni moja ( DONT COOK THE SAME FOOD KILA SIKU , BE CREATIVE, unless it’s my favorite food ) Ukinilisha same food 3 times Kama sina hela sawa ila Kama na hela aint eating that food , and I don’t care who offered it .
 
Mumeo kama ni mnywaji wa pombe mpikie vyakula vya kilevi.

Cheza na vitu vya kukaanga.. kama ndizi za kukaanga;, viazi na nyama za kukaanga.

Pia mpikie michemsho chemsho kama ndizi za kuchemsha na masupu supu ya nyama nyama za kuchemsha .

Kutegemea mtu alietoka kunywa bia ale wali maharage kisa umeunga na nazi ni upumbavu.

Hata mpishi atoke mbinguni kuna vyakula mtu alietoka kunywa pombe hawezi kula
Vyakula kukaanga tupa kuleee, ndo huwa sipendi kabsaaa
 
Habari zenu wapendwa?

Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.

Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila hata wageni wanakifurahia sana chakula mpaka wananisifia najua kupika Ila mme wangu ndo tatizo anaweza akala hata vijiko 5 akasema ameshiba.

Hii hali kwakweli inaniumiza sana akili na uzuri ana mwili nahisi labda atakuwa anakula uko nje akija anakuwa labda ameshiba maana ka jinsi anavyokula hapa ndani alitakiwa awe hana hata afya yani kwa kifupi ni Kama tu hali Ila anagusagusa Kuna wakati hadi nawaza sijui kalogwa.

Kuna watu wana bahati, mimi nakula kila siku cha house girl, na ninakula kila siku home.

Nimemwomba ajitahidi angalau weekend apike, ila wapi, leo week ijayo anasahau.

Mumeo ana mwanamke mahali, I dont care unamwamini kwa kiwango gani, anatoka nje.

Ni rahisi wala uhitaji sijui simu au kum track, tafuta boda boda mpe 50,000 amfuatiliye akitoka job na akienda, one week yenye weekend utajua mumeo anakula wapi.

Watu wanahangaika na tracking na ujinga, u want to catch a cheater? Boda boda atakupa details zote.
 
Back
Top Bottom