ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Ndio hasimamishi sasa, what will u do?Hapana! Hadi nimekubali kuolewa means nampenda sana jamaa hivyo tutakua pamoja kutafuta solution!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hasimamishi sasa, what will u do?Hapana! Hadi nimekubali kuolewa means nampenda sana jamaa hivyo tutakua pamoja kutafuta solution!
Hujatoa solution ya tatizo la binti.Hizi ni cheap campaigns zenye lengo la kuhalalisha UASHERATI kabla ya ndoa kwa kigezo Cha 'kutest mitambo'. Na hamtafanikiwa kwa jina la Yesu.
TUTATAFUTA SOLUTION ASIMAMISHE HATA KWA KUFUNGA NA KUOMBA!!😂Ndio hasimamishi sasa, what will u do?
Ndiyo inawezekana serikali kupitia mahakama inavunja ndoa yeyote ile na kuisambaratisha vipande vipandeWeee, kumbe inawezekana?!
Basi huyo kavamia ulokole.basi naapambane na hali yake🤣🤣Haya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: nini mbaya mami??
Mlokole: mume hasimamishi nanii yake
Money penny: kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo Tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifanyaje??
Msaidieni binti WA watu afanyaje
Sikujua ngoja akitoka kanisani anakuja kwangu kitamshauri aende Kwa mwanasheriaNdoa inaweza kuvunjwa endapo mwanaume au mwanamke hawezi kushiriki tendo la ndoa. Na endapo mmoja anaonesha kulalamikia suala hilo ndoa inavunjwa vizuri tu.
Nitakupa 6months utatafuta alternative, hakuna kitu kinasumbua akili kama ugwadu mkuu.TUTATAFUTA SOLUTION ASIMAMISHE HATA KWA KUFUNGA NA KUOMBA!!😂
Not funny ujueHausimamami hausimiki hahahaha mkufu huo
Sio kweliMakanisa yotee!
Labda!!Nitakupa 6months utatafuta alternative, hakuna kitu kinasumbua akili kama ugwadu mkuu.
Sasa swala la dadaetu unamsaidiajeKwenye Kanisa Katoliki Ndoa Iko hivi
Mkianza kunjunjana tuu hiyo ni ndoa lakini si takatifu. Mkiamua mnaenda kanisani Kuitakatifuza/kubariki ndoa.
Mkienda mbele ya Kanisa kwanza mbele ya mashahidi kabla hamjajuaa Kimwili mnafanya ndoa takatifu. Ndoa hii iliyoanzia kanisani hukamilishwa na tendo la ndoa baadae.
Tendo la Ndoa likishindikana Ndoa inabatilishwa.
Udanganyifu wowote ukigundulika pia Ndoa yaweza Kubatilishwa.
Mf.
Mmoja wa wanandoa kuwa na watoto kabla na kutowataja. Ikigundulika baadae Ndoa huweza kubatilishwa.
Mmoja wa wanandoa kugundulika na magonjwa kama ukichaa n.k.
Ahadi za Uongozi
Kushindwa kutii kiapo Cha ndoa ikiwapo Cha "shida na raha".
Kuongeza mwanamke/mwanaume. Maana mkataba ni mme Mmoja Mke mmoja.
Hivyo Ndoa Ya Kikatoliki huweza kubatilishwa pia pale Uvumilivu na Upendo unapofika Ukomo.
Yakwako ndio inasimama??mwambie aje madale
Jaman hii NI serious issue, tunahitaji serious commentsKm haisimani jaribu ku apply handbrakes inaweza kusimama
Washaenda, haiwezekaniHospitali zipo ,wameshindwa kwenda huko?
Kumbe atangaze niniKama huduma hupati utatangaza kuvunja ndoa?
My dia, ndoa NI tendo la ndoaHapana! Hadi nimekubali kuolewa means nampenda sana jamaa hivyo tutakua pamoja kutafuta solution!
Simamisha weweHaya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: nini mbaya mami??
Mlokole: mume hasimamishi nanii yake
Money penny: kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo Tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifanyaje??
Msaidieni binti WA watu afanyaje
Kwani nyie mnaongea HADITHI au real lifeLabda!!