Mume wangu hasimamishi, nifanyaje?!

Mume wangu hasimamishi, nifanyaje?!

Hizi ni cheap campaigns zenye lengo la kuhalalisha UASHERATI kabla ya ndoa kwa kigezo Cha 'kutest mitambo'. Na hamtafanikiwa kwa jina la Yesu.
Hujatoa solution ya tatizo la binti.

Hata kama ni warumi au walokole, utaratibu uko wazi, kesi kama hiyo ndoa inavunjwa. Aende akamwambie mchungaji wake.

Iko hivi, kama alikuwa mzima baafae ndo akapata hiyo shida, hapo ndoa haivunjwi.

Kama hajawahi kufanya penetration, hiyo ndoa ni batili na inavunjwa.
 
Haya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole

Kisa kinaenda hivi

Mlokole: money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume

Money penny: nini mbaya mami??

Mlokole: mume hasimamishi nanii yake

Money penny: kivipi?

Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6

Money penny: umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?

Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo Tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi

Sasa nifanyaje??

Msaidieni binti WA watu afanyaje
Basi huyo kavamia ulokole.basi naapambane na hali yake🤣🤣
 
Ndoa inaweza kuvunjwa endapo mwanaume au mwanamke hawezi kushiriki tendo la ndoa. Na endapo mmoja anaonesha kulalamikia suala hilo ndoa inavunjwa vizuri tu.
Sikujua ngoja akitoka kanisani anakuja kwangu kitamshauri aende Kwa mwanasheria
 
Kwenye Kanisa Katoliki Ndoa Iko hivi

Mkianza kunjunjana tuu hiyo ni ndoa lakini si takatifu. Mkiamua mnaenda kanisani Kuitakatifuza/kubariki ndoa.

Mkienda mbele ya Kanisa kwanza mbele ya mashahidi kabla hamjajuaa Kimwili mnafanya ndoa takatifu. Ndoa hii iliyoanzia kanisani hukamilishwa na tendo la ndoa baadae.
Tendo la Ndoa likishindikana Ndoa inabatilishwa.

Udanganyifu wowote ukigundulika pia Ndoa yaweza Kubatilishwa.
Mf.
Mmoja wa wanandoa kuwa na watoto kabla na kutowataja. Ikigundulika baadae Ndoa huweza kubatilishwa.
Mmoja wa wanandoa kugundulika na magonjwa kama ukichaa n.k.
Ahadi za Uongozi
Kushindwa kutii kiapo Cha ndoa ikiwapo Cha "shida na raha".
Kuongeza mwanamke/mwanaume. Maana mkataba ni mme Mmoja Mke mmoja.

Hivyo Ndoa Ya Kikatoliki huweza kubatilishwa pia pale Uvumilivu na Upendo unapofika Ukomo.
Sasa swala la dadaetu unamsaidiaje
 
Hapana! Hadi nimekubali kuolewa means nampenda sana jamaa hivyo tutakua pamoja kutafuta solution!
My dia, ndoa NI tendo la ndoa
Marriage is more thank love dear
Trust me nimekaa kwenye ndoa Miaka 40 najua nachokueleza
Ukiondoa neno nimempenda Sana mume wangu kwenye ndoa, ndoa lazima iendelee
 
Haya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole

Kisa kinaenda hivi

Mlokole: money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume

Money penny: nini mbaya mami??

Mlokole: mume hasimamishi nanii yake

Money penny: kivipi?

Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6

Money penny: umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?

Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo Tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi

Sasa nifanyaje??

Msaidieni binti WA watu afanyaje
Simamisha wewe
 
Back
Top Bottom