Mume wangu hasimamishi, nifanyaje?!

Atafute mwanaume awe anamchachafya! masuara ya ngono ni ya muda 20’s had 50’s kuna muda watu wanaanza kuishi kama kaka na dada usije jua ndoa zote wanafanya hay matengo maisha yao yote
ndoa za kikristo haturuhusiwi kufanya ulichoandika
 
Hanithi hafungishwi ndoa.
 
mmm huyu chenga yaani alikuwa hata hagusi dudu kuona kama inahema?
 
Kila kukicha unachit. Leo uislam. Kuna ID ya uislam hapa?
 
mmm huyu chenga yaani alikuwa hata hagusi dudu kuona kama inahema?
Hawajui wakikera wanaume wanailaza makusudikali. Ukitoka inasimama,unadinya na unarudi home. Hiyo inaitwa choka uende. Dadeeki. Af akiondoka,unavuta chombo unadinya hadi majirani wananyoosha mikono. Uliyetoa taarifa sasa unaaibika
 
Hawajui wakikera wanaume wanailaza makusudikali. Ukitoka inasimama,unadinya na unarudi home. Hiyo inaitwa choka uende. Dadeeki. Af akiondoka,unavuta chombo unadinya hadi majirani wananyoosha mikono. Uliyetoa taarifa sasa unaaibika
hakuna kitu kama hicho
 
Upo sahihi kabisa....

Hili la mtoa mada ni hadithi tu za kutunga, hamna ukweli hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…