Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
shuuuutumbo.o. ya mume umenitosha Miaka yote hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shuuuutumbo.o. ya mume umenitosha Miaka yote hii
Muelekeze kwangu kwanini ateseke na msaada anaweza kupataHaya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: Money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: Nini mbaya mami??
Mlokole: Mume hasimamishi nanii yake
Money penny: Kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: Umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifanyaje?
Msaidieni binti WA watu afanyaje
HAPANAWewe ungekubali?hahahahahaaa
rudia kusoma uzi utajuaKusimamisha nini mkuu?
sawa😄😄😄hizi tabia za kihuni
sauwaKama ni kweli hiyo Ndoa inavunjwa.
sauwaMuelekeze kwangu kwanini ateseke na msaada anaweza kupata
aiseeNichek0757416664
sauwa bossSi kweli kuwa NI KIFO TU ndicho kinachotenganisha ndoa ya Kikristo
Kuna mamho mengi yanayoweza kuivunja ndoa ya Kikristo, kwa mfano:-
1) Iwapo mmoja alidanganya kuwa ni mzima wa Afya kumbe ni Muathirika wa HIV
2) Iwapo Mmoja ana Uhanithi lakini hakusema na hakupimwa kabla ya ndoa kufungwa
3) Iwapo Mwenzi mmoja amejaribu kumuua mwenzie aidha wa sumu au kwa namna nyingine na ikathibitika
4) Iwapo mwenzi mmoja alikuwa na Ukichaa lakini hakuweka wazi kabla ya ndoa kufungwa
Nafikiri kuna mengine mengi
FaizaFoxy
sio kweliWalokole wa siku hizi wako moto kama hajawai kwer kudate basi mama yake ndio tiba kwake
aiseeUnavunja kiserikali
this discussed is a serious business, usituletee makorokocho yako bwana tupo seriousView attachment 2799941Huyu mbona aliweza! Maduka mengi mbona wanauza betri na waya!!!
Consummation of the marriageKWELI HATURUHUSIWI KUZINI WA KRISTO ILA KABLA YA NDOA YA KIKRISTO KUFUNGWA LAZIMA SWALA LA AFYA LA WAPENDANAO , PAMOJA NA UWEPO WA HAKI YA NDOA (TENDO) LINAZINGATIWA SANA NA MAFUNDISHO HUTOLEWA KWA WAPENDANAO ISIPO KUA SWALA LA KUPATA UZAO HILO NI LA MUNGU
KUMBUKA : NDOA YEYOTE YA KIKRISTO
Ndoa ya kikristo haifungwi kama mmoja wenu upande wa mwanaume au mwanamke ( mmoja kati yenu) amegundulika na changamoto nzito za kiafya baada ya tafiti za kitabibu kama UKIMWI AU UHANITHI AU USHOGA AU USAGAJI
Kwa upande wa mwanaume Hanithi au kwa upande wa mwanamke kichongeo hakipo kwa mantiki hiyo hawezi kutimiza fumbo la sakrament ya ndoa kwa vitendo vitakatifu
Huyo aliyefungisha ndoa ya aina hiyo nakusema hadi kifo basi hakua anajua alitendalo anapaswa kushitakiwa labda ukute tuu jamaa alianza tatizo la kutosimamisha akiwa teyari ndani ya ndoa ila kama alitoka nalo huko hiyo ndoa ni BATILI KIKRISTO
HIYO NDOA KIKRISTO NI BATILI NA INAVUNJIKA AKAE NA WATUMISHI VIZURI WANAIVUNJA NA KUFUTA AGANO HILO , WAKISHINDWA SERIKALI INAIVUNJA
Kwani huyo hakuwa serious?this discussed is a serious business, usituletee makorokocho yako bwana tupo serious
Ili ndoa itambulike lazima vikojoleo viingiliane siku ya ndoa. Bila hivyo, hakuna ndoa. Cheti hicho kinakuwa ni kipande cha Karatasi kama Karatasi nyinginezoCopulation ni moja kati ya vigezo vinavyoitambua ndoa. Kama mwanamke anaona mumewe hasimamishiPenis[\SPOILER] na anakosa tendo la ndoa ana haki ya kuachna naye