Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mwambie aje kigamboni nimlizishe nimlambe paka _____Sio kazi
Makasiriko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie aje kigamboni nimlizishe nimlambe paka _____Sio kazi
Makasiriko
[emoji58][emoji16][emoji1783][emoji3526][emoji520]MWAMBIE AINGIZE KAMA UTAMBI
Anaomba kuuliza mwanaume kwenye Maisha yake hakuwai kudate na mwanamke yoyote?ili tuangalie chanzo cha tiba yakeW
Washaenda huko muda imeshindikana
Ukimaliza kumlamba skuingine atalambwa na naniMwambie aje kigamboni nimlizishe nimlambe paka _____
Kwa walokole hamna Ku dateAnaomba kuuliza mwanaume kwenye Maisha yake hakuwai kudate na mwanamke yoyote?ili tuangalie chanzo cha tiba yake
Si umuoe tu kuliko kumtesa dada WA watuNkodishe Mimi
Tunaruhusiw Zaid ya mmojaSi umuoe tu kuliko kumtesa dada WA watu
Haya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: nini mbaya mami??
Mlokole: mume hasimamishi nanii yake
Money penny: kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo Tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifanyaje??
Msaidieni binti WA watu afanyaje
Kikristo hairuhusiwiTunaruhusiw Zaid ya mmoja
C ameolew Mimi cwez OA mlokole kbs ILA kupg poA....
Wapo kibaoHakuna mchungaji mwenye akili anaweza jibu hivyo, tngawizi imezidi
AM SERVING MY PASSION, hela ninayo tayariUnatafuta pesa kwa nguvu....pambana dada angu kuliko uuze nyuchi heri uhaso utube
YESU KASEMA PENDANENIMambo ya walokole wanajua wenyewe mwache apambane na hari yake
wewe hauna imabi kabisaMitambo lazima itestiwe wewe je ukikuta Kuna ukuta yaani njia imejiziba pale au network haikamati popote mnara hausomi weeeeh!!!!! jaman Natania tuuu sihalalishi hahhahahaaaa......?
Walokole wa siku hizi wako moto kama hajawai kwer kudate basi mama yake ndio tiba kwakeKwa walokole hamna Ku date
NI dhambi