Mume wangu hasimamishi, nifanyaje?!

Mume wangu hasimamishi, nifanyaje?!

Haya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole

Kisa kinaenda hivi

Mlokole: money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume

Money penny: nini mbaya mami??

Mlokole: mume hasimamishi nanii yake

Money penny: kivipi?

Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6

Money penny: umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?

Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo Tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi

Sasa nifanyaje??

Msaidieni binti WA watu afanyaje

Hakuna mchungaji mwenye akili anaweza jibu hivyo, tngawizi imezidi
 
Mitambo lazima itestiwe wewe je ukikuta Kuna ukuta yaani njia imejiziba pale au network haikamati popote mnara hausomi weeeeh!!!!! jaman Natania tuuu sihalalishi hahhahahaaaa......?
 
Mitambo lazima itestiwe wewe je ukikuta Kuna ukuta yaani njia imejiziba pale au network haikamati popote mnara hausomi weeeeh!!!!! jaman Natania tuuu sihalalishi hahhahahaaaa......?
wewe hauna imabi kabisa
 
Si kweli kuwa NI KIFO TU ndicho kinachotenganisha ndoa ya Kikristo

Kuna mamho mengi yanayoweza kuivunja ndoa ya Kikristo, kwa mfano:-

1) Iwapo mmoja alidanganya kuwa ni mzima wa Afya kumbe ni Muathirika wa HIV

2) Iwapo Mmoja ana Uhanithi lakini hakusema na hakupimwa kabla ya ndoa kufungwa

3) Iwapo Mwenzi mmoja amejaribu kumuua mwenzie aidha wa sumu au kwa namna nyingine na ikathibitika

4) Iwapo mwenzi mmoja alikuwa na Ukichaa lakini hakuweka wazi kabla ya ndoa kufungwa


Nafikiri kuna mengine mengi


FaizaFoxy
 
Back
Top Bottom