Mume wangu hataki msamaha wangu

Mume wangu hataki msamaha wangu

Sawa naona unajifanya huelewi
No unajua wanawake wetu sometimes mnazingua sana! Hujataka kuuliza unafosi mtu apokee simu...kilichomponza mwenzio ni kupora simu na mie ukinifanyia hivyo lazma nikutie makofi sababu siwezi kukulazimisha kupokea simu yako
 
No unajua wanawake wetu sometimes mnazingua sana! Hujataka kuuliza unafosi mtu apokee simu...kilichomponza mwenzio ni kupora simu na mie ukinifanyia hivyo lazma nikutie makofi sababu siwezi kukulazimisha kupokea simu yako
Sijui huna macho husomi

Aliulizwa mbona hupokei simu hakujibu

Logically km mtu hufichi kitu
Unaweza sema ni mtu ananidai ila cz ni nyumba ndogo unakwama

Approach ya mke nayo ni ya kishenzi
Kilikutuma nini upotelee kwenu kuzaa?.
Badala ukae kwako umuweke mume busy kulea ujauzito na mtoto ukaona umuache free nafkr ni muda wa kuvuna ulichopanda
 
Sijui huna macho husomi

Aliulizwa mbona hupokei simu hakujibu

Logically km mtu hufichi kitu
Unaweza sema ni mtu ananidai ila cz ni nyumba ndogo unakwama

Approach ya mke nayo ni ya kishenzi
Kilikutuma nini upotelee kwenu kuzaa?.
Badala ukae kwako umuweke mume busy kulea ujauzito na mtoto ukaona umuache free nafkr ni muda wa kuvuna ulichopanda
Mie nakwambia kabisa huyu mtu ananidai na sipokei simu sababu leo ndio nilimwambia ntampa af sina!
 
Thank you
Huwa sielewi mtu kwenda kujifungulia nyumbani kwao

Karibu, wengi hawajui ina mengi mazuri..

Inasikitisha kwanza mume kukosa kuona inakuwaje hadi mtoto kuzaliwa na baada mke anapitia nini.. bond inakosekana kabisaaaaa kwenye mapenzi na ndoa kuipaisha.. yaani anakuwa hajui hata mke anapitia nini.. anakosa kuona mtoto anavyokua na kukosa muda wa kubond nae pia manzoni..
 
Naogopa Sana

Iko hivi Jana tulikua namaongezi na mzee sebulen mpaka saa 6 usiku sababu toka nimetoka nyumban kujifungua ni kama ananikwepa hivi.

Akitoka kazini anipita uwanjan kwenye mazoez mpaka saa 3 usiku akirudi anakaa seblen anaangalia mpira mpaka saa 7 ndio anakuja kulala na gafla ukija seblen unamkuta anachat na simu Sasa Jana nikaamua kumuuliza.

Tukiwa katika maongezi akapigiwa simu hakupokea ikarudia tena akaikata simu ikiwa vibration, Nikamwambia mbona hiyo simu unaikata? Nani anapiga akadai achana na simu bahati mbaya nikampokonya simu akaja juu achana na simu yangu akaninyonga mkono nikamng'ata mkono.

Uwiiii hapo ndio nilipoamsha mashetani sababu alinikimbiza anipige na rungu nikamtoroka nikajifungia chumbani namuomba msamaha hataki kunisikiliza.

Leo nimeamka namuomba msamaha hataki nifanyeje jamani.
Wasiwas wangu anaweza niua maana ana hasira Sana alafu chumban Kuna rungu na sime
Pole sana Happy!

Huenda mpaka sasa amechezea kichapo cha kutosha na simu amevunjiwa na huyo kichaa wake. Ushauri uliotolewa pengine hataweza kuuona.
Hapo ajipange kwa vyote kuachwa/kuachika sasa.

..........maisha lazima yaendelee tu...........
 
Naogopa Sana

Iko hivi Jana tulikua namaongezi na mzee sebulen mpaka saa 6 usiku sababu toka nimetoka nyumban kujifungua ni kama ananikwepa hivi.

Akitoka kazini anipita uwanjan kwenye mazoez mpaka saa 3 usiku akirudi anakaa seblen anaangalia mpira mpaka saa 7 ndio anakuja kulala na gafla ukija seblen unamkuta anachat na simu Sasa Jana nikaamua kumuuliza.

Tukiwa katika maongezi akapigiwa simu hakupokea ikarudia tena akaikata simu ikiwa vibration, Nikamwambia mbona hiyo simu unaikata? Nani anapiga akadai achana na simu bahati mbaya nikampokonya simu akaja juu achana na simu yangu akaninyonga mkono nikamng'ata mkono.

Uwiiii hapo ndio nilipoamsha mashetani sababu alinikimbiza anipige na rungu nikamtoroka nikajifungia chumbani namuomba msamaha hataki kunisikiliza.

Leo nimeamka namuomba msamaha hataki nifanyeje jamani.
Wasiwas wangu anaweza niua maana ana hasira Sana alafu chumban Kuna rungu na sime
Anza mazoezi ya kunyanyua vyuma,piga push up,Ruka kichura,kuviringika,nk.Ili kujiweka tayari kwa lolote.
 
Ana makosa yapi? Wewe mtu kaamua asipokee simu yake kinakuwasha nini kuanza kupora simu isio yako? Ni utovu wa nidhamu na lazma nikulambe makofi!
Umeona simu tu hujaona ya kumkwepa mkewe.
 
Pole sana, muwahi wewe kabla hajakuwahi yeye...

Jaribu kuachana na simu yake kuepusha machafuko...
 
Kwanini aondoke bila ruhusa ya mumewe,hawezi kuondoka na akiondoka kienyeji mwanaume anaweza kusema kuwa mke katoroka

Msamaha ni lazima aombe,maana yeye ndie aliyepokonya simu ya mumewe

Halafu ndoa si malumbano,usione ndoa zinadumu,bali bila mmoja kujishusha ndani ya nyumba inakuwa shida


Ndoa si jambo jepesi kama mnavyofikiri
sijaona kosa la huyo dada la kusitahili kuomba msamaha

kuchunguza simu ya mumewe si kosa, maana mlinzi wa mume na ndoa kiujumla ni yeye

ninachokiona hapa, huyo jamaa yake ameshikwa masikio na mchepuko huko nje na hii ni kawaida kwa sisi wanaume!

wanaume hua tunakawaaida ya kujisahau tukiwa na kitu, ila kitu hicho kikiondoka hua tunajuta sana

ndio maana namshauri aondoke, na nina uhakikka atafatwa kwa magoti.
 
Binafsi
Karibu, wengi hawajui ina mengi mazuri..

Inasikitisha kwanza mume kukosa kuona inakuwaje hadi mtoto kuzaliwa na baada mke anapitia nini.. bond inakosekana kabisaaaaa kwenye mapenzi na ndoa kuipaisha.. yaani anakuwa hajui hata mke anapitia nini.. anakosa kuona mtoto anavyokua na kukosa muda wa kubond nae pia manzoni..
Binafsi ujauzito wangu ulikua changamoto sababu niltakiwa nikafanyiwe op hosp kubwa mi napoishi Kuna dispensary tu, hata clinic nilikua naenda bugando na niliandikiwa kabisa ikifika wk ya 38 nirud kwa ajir ya Op na nyumban ni huko mi napoishi nje kudogo
 
Kuna njia nyingi :

1.Kama unampenda : Tuma ujumbe wa kuomba msamaha akirudi nyumbani ujifanye kama hamna tatizo anaweza akakaa kimya iko siku atajishitukia.

2.Kama umeshachoka hutaki vita: inategemea na hali ilivyo, unaweza kuamua kuondoka, uanze mchakato wa kutengana.

3. Kama vita ni vita: mvizie siku ataingia kwenye anga zako unambinya nani hii kisawa sawa hata apige kelele vipi akiendelea kufurukuta unampa onyo "ukiendelea utazipoteza" kuna mdau humu aliadabishwa kwa siku mbili alikuwa hata hawezi kutembea vizuri.

Ukweli ni kwamba mara nyingi ndoa hudumu kwasababu ya uvumilivu wa mwanamke !
[emoji848]hii nzuri

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom