cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Mabaharia sikuhizi wanaangalia status ya mwanamke je una kazi nzuri, una mshiko hata ukiwa single mother of three kid's with money unapata mume fasta, zamani warembo waliotegemea uzuri wapate wenye pesa ni kilio tu kwa kwenda mbele na majonzi.
So zidisha kutafta hela mkuu, hata ukiwa mrembo vipi ka huna kitu ya kukuingizia kipato utasugua Gaga mpaka basi
So zidisha kutafta hela mkuu, hata ukiwa mrembo vipi ka huna kitu ya kukuingizia kipato utasugua Gaga mpaka basi