Na nyege hazigandi pia..😂Siku hazigandi
Hii fursa nishaiona kwa jicho lingine...Mapema sana kusema hii ni fursa bro,labda Kama hujawahi kukunjwa moyo[emoji23]
Ushauri mzuri huu, ukiwa jobless mwanamke hata mtu wa kukutongoza ni shughuli pevu, wanaume wanapenda wanawake wapambanaji, namshauri mwanamke mwenzangu aweke juhudi kwenye kujitaftia kipato, then atakuja kupata mtu sahihi wakumpenda jinsi alivoHebu saka maisha Dada usiende kunyanyasika kwenye ndoa ukakosa option ya kuondoka.
khaa[emoji849][emoji849] jobless ni stress za kutosha, na mume juu jamani?
Hakuna mwanamme anaependa mwanamke wa kukaa tu hasa zama hizi. Waone tu huku wanapopoa corporate women ujidanganye utaingia mikono mitupu.
Haya husika na kichwa cha uzi umsaidie..😃Hii fursa nishaiona kwa jicho lingine...
Kuna mwenzeke alileta uzi wa hivyo nilicheka hatari.Hapa ungeandika kwa ufupi tu,mwanaume yoyote anayepumua....teh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyege mbaya sana
Sasa hivi ndo zinatengenezwa au?kazi atapata akishaolewa.
Sasa madam:-Mabaharia wa siku hzi hawatutaki sisi vyeusi Mangala, hawatutaki sisi jobless jamani, hawatutaki sisi tusiokuwa na Tako wala mguu [emoji2960][emoji38], hawatutaki sisi wapiga mizinga jamani, hawatutaki sisi vifupi nyundo... Loooh!! Lkn mme wangu najua ww utakuwa huna shda kbs na ivyo vigezo jmn [emoji16][emoji85].
Hivi hii siku hizi bado ipo?"" ......... mtu sahihi wakumpenda jinsi alivo""
MkuuNimewahi kushika siti
Kila la kheri madam
Unaongea kam pesa IKO. Naomba nikukabidhi moyo wanguMabaharia sikuhizi wanaangalia status ya mwanamke je una kazi nzuri, una mshiko hata ukiwa single mother of three kid's with money unapata mume fasta, zamani warembo waliotegemea uzuri wapate wenye pesa ni kilio tu kwa kwenda mbele na majonzi.
So zidisha kutafta hela mkuu, hata ukiwa mrembo vipi ka huna kitu ya kukuingizia kipato utasugua Gaga mpaka basi
Mkuu
Ukishuka Nami Nikae Miguu Itaingia Tumboni
ndoa ni daraja mrembo, be positive optimismSasa hivi ndo zinatengenezwa au?
Kwa hiyo hilo gari ndio mwanaume?View attachment 2048955
Nipo njiani mama watoto niombe safari njema
Mkuu wageni wa kwenye nyumba yako ya Evelyn wa Chumvi wanalalamika kuwa ni karibu week na zaidi hutoi pesa ya chakula na haurudi nyumbani, kumbe uko huku bar unalewa. Siyo poa mkuu, jerekebishe aisee. Nadhani umenipata kiongozi.Haya husika na kichwa cha uzi umsaidie..[emoji2]
Najua na nimeona nataka nikija leta muendelezo niimalize kabisa! Yani nitoe jiwe la jumla nami nimechoka madeni kila Leo..😅Mkuu wageni wa kwenye nyumba yako ya Evelyn wa Chumvi wanalalamika kuwa ni karibu week na zaidi hutoi pesa ya chakula na haurudi nyumbani, kumbe uko huku bar unalewa. Siyo poa mkuu, jerekebishe aisee. Nadhani umenipata kiongozi.