Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
Dah, ushajiharibia akiba umeimaliza, joanah kakuingiza cha kiume bint...Daaah mwenye pumzi tu, jmniii
Tatizo kubwa la kina dada hasa hao jobless wanazingua hivi!! Mnakubaliana mnaishi unajipinda kidume unampa kimtaji hata kidogo halafu akishaanza kuona visenti inakuja tabia mpya ya ubinafsi na mungu anamakusudi yake unaweza kumpa kiamtaji kidogo halafu riziki inamtembelea,, wewe unapata mtihani wa kusimamishwa kazi hapo utajua hujui unaishi na mtu wa namna gani,, mwanamke muhudumie miaka 40 hakuna shida ila asikuhudumie siku 4 utajuta kabisaHebu saka maisha Dada usiende kunyanyasika kwenye ndoa ukakosa option ya kuondoka.
khaa[emoji849][emoji849] jobless ni stress za kutosha, na mume juu jamani?
Hakuna mwanamme anaependa mwanamke wa kukaa tu hasa zama hizi. Waone tu huku wanapopoa corporate women ujidanganye utaingia mikono mitupu.
Ntakuja ππππ[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mambo yanachanganya humu
But majority doesn't care about classHao ni mabaharia.
Hao ni vijana wa hovyo hovyo!
We are talking about Class. Class is permanent
Nice observation,Huu uandishi ni wa kijana wa kiume
Hata mwandiko wangu huujui πSi nikadhani ni wewe bhana [emoji3][emoji3]
akiwa na tako ndoa fastaa mbona
vaa ila kuna mda utakivua na penzi linafia hapoTuanze kuvaa vigodorro kwaiyo
Hata mwandiko wangu huujui [emoji1]
Ntakuja [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kuna lami Buga?
Mume wa mchongoMume wangu nimechoka kudanganyika na mapenzi, nalizwa Mimi Kila wakati, nadanganywa na mabaharia. Usaliti jamani usaliti uliokithiri, nitafika kwako nikiwa nimechoka Sana [emoji1751] kwa presha ya moyo jamani. Je, umepanda basi gani jman mbn hufikiiii. Uko Burundi, Kenya, Mozambique, au Tanzania.
Mabaharia wa siku hizi wanataka utoe mzigo mapema hawataki ata kuvumilia angalau miez 6, wako na haraka Sana. Lakini najua Mume wangu uko uliko utakuwa mvumilivu Sana, tutaanza kupeana mbususu baada ya miez 3 kidogo jamani [emoji1751][emoji16].
Mabaharia wa siku hzi hawatutaki sisi vyeusi Mangala, hawatutaki sisi jobless jamani, hawatutaki sisi tusiokuwa na Tako wala mguu [emoji2960][emoji38], hawatutaki sisi wapiga mizinga jamani, hawatutaki sisi vifupi nyundo... Loooh!! Lkn mme wangu najua ww utakuwa huna shda kbs na ivyo vigezo jmn [emoji16][emoji85].
Nami najua mme wangu ww utakuwa ni Mume bora na baba bora kabisa. Vile vigezo vyangu 30 vyote nimevipunguza ss jamani, vimebakia tu usiwe mnywa pombe Sana, unywe kidg tu. Ww umbo lolote tu ata mwembamba, mnene, mfupi, mrefu, mweupe, mweusi sawa tu. Uwe na mapenzi ya dhati jamani. Miaka yoyote tu jmn.
Usichelewe Sana eti [emoji8][emoji177].
πππππUnachokililia unakijua mama..?
Subiri huyo mumeo anakuja na gono..π