Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi hata sijui kinachoendelea hapa.
Ngoja nisepe niwaache mkidiskasi.
Hongera sana gaga jipongeze kwa hilo imebidi nifukunyue ili nijue yalokupata, hata mbuzi chinja nyumbani,katoe sadaka kanisani kwani hayo yote ni neema ya mungu imekudondokea,wengi wameikosa na bado wanaitafuta. kwa hiyo sasa burudani kama kaaida, sipati picha nikikosa miezi sita tu naandamana
Hakika Ibilisi naye yuko kazini kuhakikisha matakwa yake yanakamilika. sidhani kama Michelle anapozungumzia Kumrudia BWANA MUNGU anamaanisha kukimbilia kwa viongozi wa dini kama wewe unavyodhani, akifanya hivyo hakika matatizo yake hayawezi kuisha maana imeandikwa '... Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana - Jeremiah 17:5'
Hapo kwenye red kivipi ?mimi nimeolewa miaka mingi iliyopita nimeishi kwa amani na upendo na mume wangu,pia mungu katujalia watoto na mali lukuki, kwa kifupi sina shida.ila sasa matatizo yameingia ndani ya nyumba.
huu ni mwaka wa nne mume hawezi ku make love na mimi ila kukuta na msg za madem nakuta,moyoni najiuliza hivi hawa nao anatia nao story tu?nilivumilia sana nikaanza kutembea nje,wa kwanza mwanachuo mwenzangu yaani upuuzi mtupu mapenzi hamfikii hata robo mume wangu,wa pili mfanyakazi mwenzangu nae ndo kabisaa akicome anajipiga kichwa then analia kama mbuzi hee:frusty: mwisho nikaamua nitulie tu home.
mwaka mmoja nyuma nikabuni kamtindo ka kujiridhisha mwenyewe nikaona raha ajabu mpaka miezi minne nyuma nikambana mume akakubali NJE AKIENDA ANAPIGA MZIGO KAMA KAWA AKIJA KWANGU ANASHINDWA!!!!! jamani wana jf wenzangu nisaidieni mwanamke wake kamloga au mimi ndio nina matatizo? na kama ni mm mbona wale watu walipiga mzigo kama kawa?? na mbona akiwa anataka kufanya mapenz jogoo anawika akinigusa tu inasinyaa jamani duniani kuna mambo na mateso ya kila aina
kuna mtu kanishauri niende kwa mganga mwanamke wake wa nje kamloga.niende?kuna mtu tatizo kama hili lishampata?nifarijini na mnishauri mwenzenu nateseka sana.
Mbona hii story haijakaa sawa ? Hawezi ku make luv, then ukaanza umalaya halafu unasema huyo mwanafunzi sijui work mate hajui mapenzi na hafiki hata nusu ya mmeo... ???
Tunashukuru dada kwakutuletea feedback. Nasi tupo pamoja katika kumrudishia Mungu utukufu. Ila ningependa kutoa ushauri kuwa tunapoandika jina la Mungu au Yesu basi tutumie herufi kubwa maana haya ni majina na pili ni majina yenye nguvu tofauti kabisa na majina yetu ya kawaida. Kwaweli mtu akitumia herufi ndogo kwenye kutaja Mungu, Yesu Roho Mtakatifu huwa najisikia vibaya nakuona kama tunayashushia hadhi. Mbona majina yetu tunatumia capital letters? Ubarikiwe dada.Helw wana jf, tangu wiki mbili sasa nilikuwa nataka nirudi kuwashukuru kwa ushauri mlionipa kwenye thread yangu niliyoipa kichwa cha habari kama hiki hapo juu, kwa kweli napenda kutoa shukran kwanza kwa mwenyezi mungu kwa kutusaidia tatizo lile limeisha, najua ni mungu tu ndie aliyesaidia,jina la bwana lishukuriwe
Napenda kuwashukuru wale wote waliochangia thread yangu na kunipa ushauri mungu awabariki pia wale walionibeza mungu pia awazidishie walipopunguza pia shukrani za dhati ziwaendee wale walioenda mbele zaidi na kuguswa kwa namna moja au nyingine wakani pm na kunipa ushauri zaidi hawa si wengine ni Mu-sir, Fisherscom, Annony, jamal-tanga na kiraka nashukuru sana mungu awabariki sana ushauri wenu wote niliufanyia kazi kwa namna moja au nyingine.
Ilitokea tu amesafiri nje ya nchi aliporudi mambo yakawa poa na nilipomuuliza kafanya nini akaniambia hakuna alichofanya basi sijamuuliza mpaka leo. Nawashauri wote wenye tatizo kama langu, wasikate tamaa mungu yupo na anasaidia wote wenye kuelemewa na mizigo, mwisho kabisa nashukuru ile post ya michell ambayo watu wengi walicomment niifatilie pia na mimi niliipenda na kuifanyia kazi
Oooops at last am free now, nawapenda nyote, muendelee kuwa na upendo kwa wengine wote wenye matatizo, kwa kweli naipenda jf family, mungu ambariki mwanzilishi max na mods wote kwa kazi nzuri,kila siku inayoenda nazidi kufall in love nayo. ahsanteni.
Anauliza ili akimtolea nje amuulize mbona ulitaka mwenyewe!
Usimuulize we m pm tu
1. Hatua ya kwanza ni kutubu,Mungu akusamehe,umekosea sana,hushindani na ibilisi ndani ya mumeo kwa kumuunga mkono ibilisi kwa mwanaume mwingine.Si suluhisho,na nakuambia huko ulikoenda ndo umeenda kutafuta shida.
2.Hako katabia ka kujiridhisha mwenyewe kaache,huwezi jua unashughulikiwa na majini mahaba,nenda kanisani usikie shuhuda za watu,wanaondo uhusiano wowote na mwanaume mwingine kwa mambo kama hayo,mwanaume hawezi fanya mapenzi.Mungu aliyewaunganisha anajua kwanini alituweka tofauti na akaweka ilo tendo la ndoa.
3.Usiende kwa mganga nakusihi tena sana,piga magoti muombe Mungu,unaenda chukua pepo lingine huko,Mungu ni zaidi ya yote,sali sana na uwe na subira atakujibu,nenda kwenye maombi/dua za pamoja na wenzio,usiruke kwa mganga.
4.Kaa mbali na marafiki wabaya wakati huu ukiwa na matatizo,zungumza na Mungu,mumeo,mama au hata dada......usitii ushauri wa kwenda kwa mganga hata kama unatoka kwa mama yako,huyo hawara kama unahisi alikulogea kwa mganga,we unaenda fanya nini?gharama za bure,yupo Mungu.