mume wangu jamani

mume wangu jamani

mimi nimeolewa miaka mingi iliyopita nimeishi kwa amani na upendo na mume wangu,pia mungu katujalia watoto na mali lukuki, kwa kifupi sina shida.ila sasa matatizo yameingia ndani ya nyumba.
huu ni mwaka wa nne mume hawezi ku make love na mimi ila kukuta na msg za madem nakuta,moyoni najiuliza hivi hawa nao anatia nao story tu?nilivumilia sana nikaanza kutembea nje,wa kwanza mwanachuo mwenzangu yaani upuuzi mtupu mapenzi hamfikii hata robo mume wangu,wa pili mfanyakazi mwenzangu nae ndo kabisaa akicome anajipiga kichwa then analia kama mbuzi hee:frusty: mwisho nikaamua nitulie tu home.
mwaka mmoja nyuma nikabuni kamtindo ka kujiridhisha mwenyewe nikaona raha ajabu mpaka miezi minne nyuma nikambana mume akakubali NJE AKIENDA ANAPIGA MZIGO KAMA KAWA AKIJA KWANGU ANASHINDWA!!!!! jamani wana jf wenzangu nisaidieni mwanamke wake kamloga au mimi ndio nina matatizo? na kama ni mm mbona wale watu walipiga mzigo kama kawa?? na mbona akiwa anataka kufanya mapenz jogoo anawika akinigusa tu inasinyaa jamani duniani kuna mambo na mateso ya kila aina
kuna mtu kanishauri niende kwa mganga mwanamke wake wa nje kamloga.niende?kuna mtu tatizo kama hili lishampata?nifarijini na mnishauri mwenzenu nateseka sana.

Aisee... Nililikuwa sijui nini kimetokea, dah


Tunamshukuru Mungu kwa JF... maana ni kweli anasamehe.. Michelle akapata hekima ya kumjibu

1. Hatua ya kwanza ni kutubu,Mungu akusamehe,umekosea sana,hushindani na ibilisi ndani ya mumeo kwa kumuunga mkono ibilisi kwa mwanaume mwingine.Si suluhisho,na nakuambia huko ulikoenda ndo umeenda kutafuta shida.

2.Hako katabia ka kujiridhisha mwenyewe kaache,huwezi jua unashughulikiwa na majini mahaba,nenda kanisani usikie shuhuda za watu,wanaondo uhusiano wowote na mwanaume mwingine kwa mambo kama hayo,mwanaume hawezi fanya mapenzi.Mungu aliyewaunganisha anajua kwanini alituweka tofauti na akaweka ilo tendo la ndoa.

3.Usiende kwa mganga nakusihi tena sana,piga magoti muombe Mungu,unaenda chukua pepo lingine huko,Mungu ni zaidi ya yote,sali sana na uwe na subira atakujibu,nenda kwenye maombi/dua za pamoja na wenzio,usiruke kwa mganga.

4.Kaa mbali na marafiki wabaya wakati huu ukiwa na matatizo,zungumza na Mungu,mumeo,mama au hata dada......usitii ushauri wa kwenda kwa mganga hata kama unatoka kwa mama yako,huyo hawara kama unahisi alikulogea kwa mganga,we unaenda fanya nini?gharama za bure,yupo Mungu.

Ukafuta ushuhuda..Ulienda kanisa gani??

Helw wana jf, tangu wiki mbili sasa nilikuwa nataka nirudi kuwashukuru kwa ushauri mlionipa kwenye thread yangu niliyoipa kichwa cha habari kama hiki hapo juu, kwa kweli napenda kutoa shukran kwanza kwa mwenyezi mungu kwa kutusaidia tatizo lile limeisha, najua ni mungu tu ndie aliyesaidia,jina la bwana lishukuriwe

Napenda kuwashukuru wale wote waliochangia thread yangu na kunipa ushauri mungu awabariki pia wale walionibeza mungu pia awazidishie walipopunguza pia shukrani za dhati ziwaendee wale walioenda mbele zaidi na kuguswa kwa namna moja au nyingine wakani pm na kunipa ushauri zaidi hawa si wengine ni Mu-sir, Fisherscom, Annony, jamal-tanga na kiraka nashukuru sana mungu awabariki sana ushauri wenu wote niliufanyia kazi kwa namna moja au nyingine.

Ilitokea tu amesafiri nje ya nchi aliporudi mambo yakawa poa na nilipomuuliza kafanya nini akaniambia hakuna alichofanya basi sijamuuliza mpaka leo. Nawashauri wote wenye tatizo kama langu, wasikate tamaa mungu yupo na anasaidia wote wenye kuelemewa na mizigo, mwisho kabisa nashukuru ile post ya michell ambayo watu wengi walicomment niifatilie pia na mimi niliipenda na kuifanyia kazi

Oooops at last am free now, nawapenda nyote, muendelee kuwa na upendo kwa wengine wote wenye matatizo, kwa kweli naipenda jf family, mungu ambariki mwanzilishi max na mods wote kwa kazi nzuri,kila siku inayoenda nazidi kufall in love nayo. ahsanteni.

Gaga sasa utulie, endelea kumjua Mungu na kumtegemea yeye kwa kila kitu.
 
Aisee... Nililikuwa sijui nini kimetokea, dah


Tunamshukuru Mungu kwa JF... maana ni kweli anasamehe.. Michelle akapata hekima ya kumjibu



Ukafuta ushuhuda..Ulienda kanisa gani??



Gaga sasa utulie, endelea kumjua Mungu na kumtegemea yeye kwa kila kitu.

Ahsante sana mpendwa
 
Thank for the feedbak. Sasa yule meeeeeh aliyekuwa akilia kama mbuzi wakati wa shughuli ukimuona unacheka au unafanyaje?

Sizidishi bana mlio ulikuwa haueleweki kwa kweli
 
Pole sana kwa yaliyokukuta sista dunia hi ina kila aina ya matatizo, afadhali yameisha muendelee kuishi kwa upendo. Achana kabisa na yale mambo uliyokuwa unafanya wakati wa matatizo. Nimependa ulivyorudi kutoa shukrani nimesoma thread zako nimeelewa ulikuwa na wakati mgumu sana.napenda nikujulishe huwa napenda sana posts zako dada gaga

Ahsante dinnah kwa post nzuri, nimeachana na yale ya zamani kabisa niko huru na ndio maana nimerudi kutoa shukrani nafurahi kwa upenda posts zangu inatia moyo kwa kweli
 
Mumejaribu kwenda mbali na nyumbani yaani kama hotelini hivi kwa weekend. Maana wakati mwingine mazingira yamemchosha. Kupewa dawa na wa nje yawezekana ila kwa nini umeacha tatizo likaendelea kwa miaka minne yote? Inakuwa kama una halalisha yeye kuwa na mwanamke wa nje na wewe kutafuta pa kujipa raha.
Kaeni chini mjaribu kutafuta namna.

Sikuacha tu tatizo liwe halali bali nilihangaika kwa kila njia unayojua wewe ila sikufanikiwa bi mkubwa mpaka milango ilipofunguka yenyewe kwa neema za mungu.tatizo halipo tena
 
Mie nakushauri dada yangu jaribu kwenda kwenye vituo vya maombi wewe na mume wako mkaombewe,inawezekana mume wako kapigwa juju na nyumba ndogo na hayo ndo matatizo yanayowakumba wanaume wanaotoka nje ya ndoa zao,ongea na mume wako muambie muende mkaombewe na yote hayo yataisha na utafurahia tendo la ndoa na mumeo kama zamani.Wapo wengi walikuwa na tatizo kama la mumeo lakini baada ya maombi wamepona.
 
Sizidishi bana mlio ulikuwa haueleweki kwa kweli
Hivi gaga mlio wakati ule wa majambo uwe wowote ule kutokana na mtu anavojisikia si ni raha tupu? maana mie sipendi kimyakimya, au ulitaka anyamaze kabisa? samahani kwa swali hili upo kwenye twenty's or thirty's samahani kwa kukuuliza unaweza nijibu humu au pm au nipotezee
 
Hivi gaga mlio wakati ule wa majambo uwe wowote ule kutokana na mtu anavojisikia si ni raha tupu? maana mie sipendi kimyakimya, au ulitaka anyamaze kabisa? samahani kwa swali hili upo kwenye twenty's or thirty's samahani kwa kukuuliza unaweza nijibu humu au pm au nipotezee

Miguno milio muhimu ila isizidi kuwa ya ajabu sana inatisha baada ya kuburudisha, nipo thirty's mwanzoni vipi naonekana mtoto au vipi? nini kimekufanya uulize umri wangu? halafu thread yangu ya shukrani imekuwa moved humu nashangaa kwa nini embu mwenye uelewa anijulishe nimempm invisible kanichunia tafadhali mwenye uelewa anijulishe ni kwa nini?
 
I am happy for you Gaga, Mungu akubariki wewe na familia yako.Hongera kwa kuwa mvumilivu katika kipindi hicho cha majaribu makubwa.
 
I am happy for you Gaga, Mungu akubariki wewe na familia yako.Hongera kwa kuwa mvumilivu katika kipindi hicho cha majaribu makubwa.

Ahsante sana kiraka kaka angu, nakupenda, ulinishauri vizuri sana mungu akubariki na wewe, ulikuwa wapi mpaka thread imemuvuzishwa humu?maisha yalikuwa magumu mpaka nikataka kukopi signature yako kihalisia
 
Mie nakushauri dada yangu jaribu kwenda kwenye vituo vya maombi wewe na mume wako mkaombewe,inawezekana mume wako kapigwa juju na nyumba ndogo na hayo ndo matatizo yanayowakumba wanaume wanaotoka nje ya ndoa zao,ongea na mume wako muambie muende mkaombewe na yote hayo yataisha na utafurahia tendo la ndoa na mumeo kama zamani.Wapo wengi walikuwa na tatizo kama la mumeo lakini baada ya maombi wamepona.

yamekwisha landala ishakuwa history thanx ndugu yangu
 
jamani topic ya thanx imepotelea wapi tena? Gaga hongera, na usiache kumuomba Mungu kila wakati ili ailiende ndoa yenu. manake duh uliyopitia ni makubwa haswa
 
Pole kwa yote,kwanza ushauri wangu huu:wanaume hufuata vionjo tofauti nje ya ndoa,yaelekea ulimboa ndo maana alianza kutoka,hivyo anza kwa kujirekebisha,jiweke fresh yaani uvutie;vitu vidogovidogo kama kuvaa poa(chupi za kuvutia,nguo za kuvutia n.k),pia kuoga fresh,nyoa chini,kwa ujumla kuwa kama vile madada poa wanavyojiweka ili umvutie.unajua msemo usemwao kiume kwamba treat your wife like a bitch!!!yaani unatakiwa mmeo akuone kama bitch kila wakati ili umvutie.Pia mnapokuwa bed,anza kwa kumtamanisha penzi usimsubiri yeye asimamishe dudu ndo akupande bali mfanyie mambo,mi kwa mfano napenda mwanamke ambaye ikiwezekana atanifanya nikojoe kabla hata sijamfanya vile vile na nyie wanawake,sisi wanaume twafurahi tukiona chupi ya mwanamke inaloa kabla hatujaanza mambo hii inavutia sana,pia kubadili style na mambo kama hayo,kila siku mme akuone mpya hatatoka kamwe,lakini kama atakuwa anakuja anakuta unanuka maziwa au hujaoga au chupi ya jana unayo mpaka leo au chini panatema unategemea nini?wewe mwenyewe ulipokuwa unatoka kukutana na jamaa wa nje nategemea ulikuwa unaenda ki vingine ili kuwavuta jamaa,basi mfanyie mmeo hivyo hivyo,ndo maana wanaume wanasema k*** ya nje tamu
 
Endelea kupuchuka... its self satisfying. Ila nenda katubu dhambi zako
 
Pamoja na ushauri mzuri wa Michelle, pia nawe usikae kizembe. Mpende mume wako, zungumza naye kwa heshima mwonyeshe kumthamini nakumhitaji. Sala na kazi.
 
Mimi nilitokea kwenye ile ya shukrani vp hukuniona? BTW enjoy your life dada yangu i was happy to read that post kwamba mambo yako ok. 1 love
 
endelea tu na wanje hadi mume wako ajue.akipata wivu jogoo wake atawika hata kwako.tetea vizuri lakini.....badilisha na style zako.zile za zamani zinachefua mno.
 
Mimi nilitokea kwenye ile ya shukrani vp hukuniona? BTW enjoy your life dada yangu i was happy to read that post kwamba mambo yako ok. 1 love

Yaani mods wameimuvuzisha humu thread yangu nimechukia kweli sasa hata haileti maana tena watu wanacoment ile ya kwanza ya matatizo ile ya shukrani hawaioni naomba kama mods wanaona wairudishe thread yangu mbona wanakuwa hivi jamani?
 
Back
Top Bottom