MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 187
***mama tulia, nenda posta kachongeshe hii kadi...
'love is NOT all about falling in love but rising everytime you fall, I will always be yours forever' I love you my sweet husband'
Kisha utakapo lala iweke katika meza anayoweka ufunguo wa gari lake, au iweke katika dash board ya gari yake, au iweke katika meza/kioo ya/cha kuvalia.
Usimwambie kitu mpaka akuulize!
That's a very nice 'revenge'
Wewe nenda naye ofisini kesho ukamuone huyo mwanamama akueleze vizuri nia hasa na sababu ya kumpa mumeo VD card yenye maneno hayo. Hili ndilo litasaidia kuondoa dukuduku ndani ya moyo wako na ikiwezekana pia umpe kibano cha nguvu tu ili aachane na tabia za kuparamia waume za watu.
What makes you think the guy owns a vehicle in the first place?
hivi huyu mwanaume naona akili yake hamnazo kadi ya mapenzi ..harafu anaenda nayo home
Jibu -wanafanya nae kazi lol
Iko kazi ...Mama pole unaibiwa
What makes you think the guy owns a vehicle in the first place?
hapo chacha...
Hizi mada zingine, bora nirudi kule kwa wafia nchi! Too fictious!!
umeona eeeeeeeeeeeeeh!! it will be worth it!!
Hizi mada zingine, bora nirudi kule kwa wafia nchi! Too fictious!!
wafanye lakini wacpitilize kikomo, ningeanza na huyo aliekuja mpaka kwangu ningemalizia na mtuhumiwa no moja, dharau nyingine hazivumiliki kabisa....mfanyakazi mwenzie wacpeane huko huko job na aiachie huko huko aje mpaka home? kuna watu huwa wana mic sana kasheshe sasa wanalitafuta kwa nguvu, napambania hiyo dharau tu.
kuna watu wanataka kuwafanya wengine wajione hawana dhamani, sasa hapo laaziz wacha 2.
Laaziz nakufahamu ndio maana mimi huwa sikufanyiii hivyo....The only thing I do is buy you fresh roses everytime I feel like to...Siyo lazima iwe siku ya Valentine! 🙂
mapenzi ya mcmu yanaleta pressure mweh, lakini ningehakikisha naharibu...laazizi endelea kunifahamu hivyo hivyo ucnijaribu kabisa.
[/COLOR]
afu shostito avatar ya laaziz wako lol!!!!!
mamaaaaaaaaa wa mikwara!!! anakuelewa wewe ni kichwa maji hahaaaaaaaa!!
thats my Nyamayao (btw; ile aka bora umeitoa maana mbona shoga anazidi kuwa kitu chengine........ule sasa unyama)
bila mikwara hii walaah ningeshaa...lol
We binti ni mchokozi, avatar yangu imefannya nini tena? Au umelizimia hilo pozi la Junior?