Mume wangu katumiwa Valentines card na mwanamke mwingine

Mume wangu katumiwa Valentines card na mwanamke mwingine

Haya mambo ya kuiga bila kujua maana yake, matokeo yake ndio kama haya, mala nyingi huwa nafanya kazi za u-MC, ikifika zamu ya kutoa zawadi huwa nakataza watu kuwakumbatia maharusi, ispokuwa wazazi tu. wengine huwa hawanielewi, lakini ukiwauliza maana ya kukumbatiana jinsia tofauti na wakati sio wapenzi na ni adhalani hawakupi majibu, HACHENI HIZO.


we kaitaba,nimechekampaka bac, sio kumbatia tena wengine kama wanakaba vile...kajisemea Fidel mambo ya isidingo.
 
we kaitaba,nimechekampaka bac, sio kumbatia tena wengine kama wanakaba vile...kajisemea Fidel mambo ya isidingo.
Ni kweli inachekesha na pia inaudhi, wengine tunaonaje, we fikiria upo pale na mkeo linakuja lijamaa linamkumbatia tena kwa dakika kadhaa mpaka wengine wanamsubili yeye atoke na wengine waje kumkumbatia huyo mkeo, ukizingatia kuwa kumtoa huwezi kumkataza pia unashindwa, utajisikiaje????!!!
 
hivi huyu mwanaume naona akili yake hamnazo kadi ya mapenzi ..harafu anaenda nayo home
Jibu -wanafanya nae kazi lol
Iko kazi ...Mama pole unaibiwa

Lakini kitendo cha yeye kwenda nayo home bila wasiwasi na kumwachia wife afungue, nadhani kinaashiria jamaa ni mwaminifu kwa kiasi fulani (kwa mtizamo wangu). Nadhani mbaya ingekuwa kama yaye ndio kapeleka kadi yenye maneno hayo kwa mwanamke mwingine!
 
source: http://mapenzibongo.blogspot.com/

msaada kwenye tuta mapenzibongo, mimi nipo na mume wangu huu ni mwaka wa tatu saivi na tumebarikiwa kupata watoto wawili. Jana mume wangu amepata kadi ya valentine kutoka kwa mwanamke ambaye simfahamu. Alikuja nayo mpaka nyumbani hajaifungua, na kwa bahati mbaya au nzuri mi nkaifungua na likuwa imeandikwa hivi, "love is not finding someone to live with, it's finding someone you can't live without, wako d", kwa kweli hii imeniuma sana. Nikamuuliza hii inakuaje, akanijia juu nakunijibu ni mfanyakazi mwenzie wa ofisini wanafanya nae kazi na amempa kila mtu ofisini kwao. Hapa nilipo niko na dilema
oh pole sana!but don't punic fanya uchunguzi wa kina kwa wafanyakazi wenzake inawezekana anayosema ni ya kweli!
 
Inawezekana, Lakini inahitaji uelewa wa hali ya juu,
Kwanza uelewe kuwa Mtu kumtumia mtu mwingine Card ya Valentines sio kuwa ni mpenzi wake.
Kumbuka kuna Rafiki na Mpenzi.
Kuna jamaa yuko Mwanza kila akipiga simu kumtafuta mtufulani simu yake inapokelewa na Mwanamke aliyeko DSM, Kilichotokea Mwanaume huyo alimwomba mwanamke huyo wawe Mrafiki. Akamwambia amueleze na mume wake pia.
Jamaa huyo wa Mwanza huwa anakuja DSM mara kwa mara, Kila anapokuja humuletea Rafiki yake huyo Zawadi ya Samaki.
Inaonekana Dada unachanganya Rafiki na Mapenzi.
Hata mwanamke wa kazini anaweza nitumia kadi ya Valentines.
Hii ni siku ya wapendanao, mama yako, Baba yako, Kaka yako.
Nadhani umenielewa.
 
<font color="Red">'love is NOT all about falling in love but rising everytime you fall, I will always be yours forever' I love you my sweet husband'
Napenda sana vita vya kimyakimya (maumivu bila chuki)
 
oh pole sana!but don't punic fanya uchunguzi wa kina kwa wafanyakazi wenzake inawezekana anayosema ni ya kweli!


No! Unamtaka akamwaibishe mumewe huko kazini; atachunguzaje kazini; wa kuchunguzwa ni huyo mumewe; akeeep cool na kama ni uasi utajitokeza tu muda si mrefu.

Na kuhusu hiyo kadi kupelekwa nyumbani eti ni uaminifu si kweli; sometimes that portrays how arrogant we are kama men!
 
...pessimists bana,

wao kila jambo 'kwanini?!'...
Badala ya kusoma na kuuchanganua ujumbe mzima mumewe asivyoweza ishi bila yeye, kakimbilia kusoma na kupigia msitari; "yours D"

Sasa na nyie mnazidi kupigilia misumari hapa, barua zenu ngapi zinaishia na "yours..." au kuanza na "Dear..." ? 🙂

Big up Mbu. Nadhani wakati mwingine we read too much and the opposite in messages. Nikisoma kwa makini ni kwamba huyu ni married and infact its a plus in the message kwenye card maana ni kama it goes in line to support his marriage.

Na kama kulikuwa na ishu mbona alienda nayo home hiyo kadi. People wakati mwingine sisi wenyewe na insecurity ndo inapelekea kuwa suspicious...rock the boat... mmh

Mara ngapi hata email maofisini tunaanza na dear, je wote ni wapenzi wetu?
 
Back
Top Bottom