Mume wangu kumbe ugenini unayaweza hivi?

kulikuwa na giza totoro humo ndani? haijui hata kaharufu ka mkewe kweli hata texture asigundue? mabao yote walikuwa hawaongei hata kwa sauti za chinichini...hata migununo ya mkewe haikuwepo?

kweli mleta mada ali "mdesi" mkuu mdesi , yaani inakuwaje umgonge mtu kama mbakaji? yaani unapiga kama umevaa mzura usoni?
 
Last edited by a moderator:
tehtehtehteh.... shemejiiiiii
 
hapana huyo mume alikuwa boya ka kweli angepga kaz bao la pili 2 mtego ungefyatuka kwa kilio kikali cha mkewe!
 
hadithi inatufundisha nini wanaume..................................
 
Kwahiyo mke mtu papuchi yake ilipigwa vilivyo!!!
 
Wa ndani gubu, mazowea, dharau vinakostisha sana ndoa
 
hii hadithi ina copyright??

nijipatimo fursa kny gazeti la shigongo ile column ya CHOMBEZA..lol
 
Hata kama ni giza kiasi gani texture, harufu, mihemo na hata papuchi ya my wife wangu nitaigundua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…