Kim-Jong-Un
JF-Expert Member
- Jan 23, 2015
- 356
- 190
hahaaaaa umejuaje mya?
Miezi mi4 hajamgusa shosti.....kisa yuko bize kutongoza....yaani jamaaa alikaa miezi mi4 bilabila....
Anapewa maximum ya 2m kwa mwezi.....miezi 4 zikafika 10m......miujiza....
Sasa......
Server na ijae tu..
Nyingine zilikua ni nyongeza in between.
Kila akiona embe dodo za shemeji anasubiri siku yake.
HUko mmu napaogopa maana nikiwasoma naona kama watanishambulia. Ha ha ha ha ha.
du asante bibi kwa hadithi, je hadithi yako inatufundisha nini?
Mbona hadithi imeisha ghafla,