Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu yupo jf kimkakati...mtanielewa baadae
Umenichekeshahivi hili suala linawezekanaje,,, me mbona huwa siwezi kujitekenya na kucheka mwenyewe jamani😎😎
Hata ningekuwa nadate naye mim asingemaliza week moja nikiwa naye.Naona unataka kuvunja record ya kudate na Wanaume wawili ndani ya muda mfupi.
Yule wa JF mliachana baada ya mwezi mmoja wa kudate na huyu mpya unataka kumwacha ndani ya wiki 2.
Hata kama lengo la mahusiano ni kuongeza uzoefu, lakini hii yako ni too much 🙌
Kupigana ni ukatili tu.kuna utamaduni mmoja nimeukuta ulaya, wazungu au westerners wote, ni wachache sana huwa wanapiga mke. ni utamaduni wao, mwanamke anaweza hata kukupiga kibao ila huwezijirudishia. tofauti na bongo mtu anaambiwa kabisa akakate fimbo alete achapwe. mzungu mmoja alimfumania kabisa mkewe, ila hakunyoosha mkono kurusha hata ngumi, ni mwiko kupiga mwanamke.
wanakera sana,,, halafu anahisi watu hatumjui kumbe kitambo sana tunamchora tu😃😃Umenichekesha
Hivi sio maua??wanakera sana,,, halafu anahisi watu hatumjui kumbe kitambo sana tunamchora tu😃😃
Mbona hii cheka imekaa ki cocastic [emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakati hatuna bandari
Yaani humu😀Mbona hii cheka imekaa ki cocastic [emoji848]
hili lina I'd mbili za kiume halafu ni very known.....alipigwa bani kipindi flan hivi 😎Hivi sio maua??
Kumbe sio ke?why thishili lina I'd I'd mbili za kiume halafu ni very known.....alipigwa bani kipindi flan hivi 😎