Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Utajijua mwenyewe !!!...
Wee ni kajinga...kwaiyo ulivoongea Ukamasi kamasi wako......ni Poaa
Ukajihis sababu mwanamke, nitaacha kukujibu????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kapuuzi kweli, bila shaka wee ni kembamba zaidi ya wembamba wa wembe !!...
Ngoja nikuache !!!
Hahaaaa kuacha kunijibu najua huwezi..wanaume type yako ni wale wanaoona mwanamke hana haki ya kusema lolote, lol ..na akisema lolote ni tishio kwa uanaume wenu hivyo lazima arudishwe kwenye nafasi yake, nafasi ambayo mmelelewa mkikua nayo,,, lol..poleni 😂😂😂😂😊😊