Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Sioni lipo upande gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sioni lipo upande gani?
Age nzuri kwa maisha kabisa.Kichwa cha habari hapo juu cha husika
Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu
Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu
Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia
Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight
Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu
Ur love Nasu Zion
INGAWA...kuna wale ambalo hawakupenda isipokua katika huo muda ndio walihisi wamepata waoaji, kumbe wamepata wapigaji ...........
Uniachie mabaharianioe halafu na ww nimuachie nani?
Unamsubiri mpaka subira kaacha kuvuta heri sasa hivi anavuta Bangi,
Yaaanii😂😂dudubaya lileeeee looh,Namuheshimu sana huyo mdudu nipo namuombea mtoa mada akumbuke kinga na kipimio
kuwa serious kigori mabaharia sio watuUniachie mabaharia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuwa serious kigori mabaharia sio watu
Sawa nafuta umekomalia hivyo kumbe muoga hivi 😀😀😀😀
Once in your life ulipokuwa katika "umri sahihi" at 22-24, je hakuwahi kutokea mwanaume muoaji na wewe ukamletea nyenyenye?Kichwa cha habari hapo juu cha husika
Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu
Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu
Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia
Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight
Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu
Ur love Nasu Zion
Yaaanii[emoji23][emoji23]dudubaya lileeeee looh,
[emoji1787][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Sijui kuhusu mambo yako mengine ila uandishi wako umeonyesha mambo mawili
1. Ulikwenda shule ukajifunza kusoma na kuandika kwa umakini- hakuna kosa la kisarufi wala kifasihi.
2. You are charming - namna ulivyoandika huonyeshi kukata tamaa wala kulaumu. Umewasilisha jambo lako kwa matumaini makubwa.
Wewe utakuwa mwanamke mzuri tu. Najipa masaa 24 kabla sijafanya maamuzi ya kuja PM.
All the best darling.