Mume wangu, nimechoka kukusubiri

Mume wangu, nimechoka kukusubiri

Sioni lipo upande gani?
1569040334765.png
 
Kichwa cha habari hapo juu cha husika

Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu

Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu

Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia

Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight

Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu

Ur love Nasu Zion
Age nzuri kwa maisha kabisa.

Vipi zile ndoa za chuoni hukubahatika hata kubaki na mmoja?
Au ulijituliza?
 
Mm mumeo nashughulikia swala la mgogoro wa ghuba huku mashariki ya kati nikimaliza nakuja baby
 
Endelea tu na mabaharia,maana wanaume kwa sasa tumekubaliana kubaki njia kuu
 
Kichwa cha habari hapo juu cha husika

Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu

Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu

Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia

Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight

Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu

Ur love Nasu Zion
Once in your life ulipokuwa katika "umri sahihi" at 22-24, je hakuwahi kutokea mwanaume muoaji na wewe ukamletea nyenyenye?

Sasa unakuja kustuka 27 hii hapa na hakuna mwanaume wa kujicommit na wewe
 
Hiki kiwanja hakina mgogoro?? (Single mother)
 
Mmmh....ndiyo lile bandiko la nyerere. kweli wadada mkifikisha age hiyo ndoa mnaitafuta kwa nguvu sana. First, are you single mother or?
 
Sijui kuhusu mambo yako mengine ila uandishi wako umeonyesha mambo mawili
1. Ulikwenda shule ukajifunza kusoma na kuandika kwa umakini- hakuna kosa la kisarufi wala kifasihi.
2. You are charming - namna ulivyoandika huonyeshi kukata tamaa wala kulaumu. Umewasilisha jambo lako kwa matumaini makubwa.

Wewe utakuwa mwanamke mzuri tu. Najipa masaa 24 kabla sijafanya maamuzi ya kuja PM.
All the best darling.
 
Sijui kuhusu mambo yako mengine ila uandishi wako umeonyesha mambo mawili
1. Ulikwenda shule ukajifunza kusoma na kuandika kwa umakini- hakuna kosa la kisarufi wala kifasihi.
2. You are charming - namna ulivyoandika huonyeshi kukata tamaa wala kulaumu. Umewasilisha jambo lako kwa matumaini makubwa.

Wewe utakuwa mwanamke mzuri tu. Najipa masaa 24 kabla sijafanya maamuzi ya kuja PM.
All the best darling.
[emoji1787][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Utukufu kwa Mungu
 
Back
Top Bottom