Utajijua mwenyewe !!!...
Wee ni kajinga...kwaiyo ulivoongea Ukamasi kamasi wako......ni Poaa
Ukajihis sababu mwanamke, nitaacha kukujibu????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kapuuzi kweli, bila shaka wee ni kembamba zaidi ya wembamba wa wembe !!...
Ngoja nikuache !!!
Mfate banaNjoo PM sasa. Unasubiri nini mwanamke
there is something wrong! yan wanachuo wenzako hawajakuona? wafanyakaz wenzako? hata mtaani kwako? had uje humu.....?? ah wap lazima wewe ni mfup, mweusi afu mnene kama unabishs tuma pichaKichwa cha habari hapo juu cha husika
Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu
Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu
Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia
Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight
Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu
Ur love Nasu Zion
usisahau kinga utapoenda kula mzigo this wkendNipo hapa mpenzi.Karibu nikukaribishe ktk moyo wangu. Nitakujali,tutapambana kujijenga na kuimarisha family yetu ambayo tutailea kisasa.32 aged,kibarua simple cha kupatia mkate kipo,tukiongeza nguvu zetu tutafanikiwa huku tukimtegemea mwenyezi Mungu.Naenda kanisani pia.
Nanina wallah! Wapi bahariaaaaaaaaa! Bahati kama hizi huwa haziwangukii mabaharia!Kichwa cha habari hapo juu cha husika
Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu
Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu
Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia
Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight
Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu
Ur love Nasu Zion
YanitishaI'd imefanyaje
Kwamba hujawahi kuombwa uchumba hata siku moja?
Sijui sasaTunafanyaje sasa ???
mbona unacheka?
Kwanza vp bibie ulishapata mtu wa kukupa mtaji maana uzi wako wa kipindi cha nyuma ulikua unahitaji mtaji..miaka yako ilikua 28 leo naona imepungua.Kichwa cha habari hapo juu cha husika
Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu
Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu
Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia
Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight
Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu
Ur love Nasu Zion
Nb:Ukiwa dodoma utapewa kipaumbele
Sasa mpenzi wangu? Weekend leo.Hamnaaa
Aise, ukutaka kudanganya lazima uwe na kumbukumbu, mwezi wa 11 atarudi 26.Mwezi wa Sita alikuwa na Miaka 28,
Mwezi wa Tisa ana miaka 27...[emoji28][emoji28]View attachment 1218329
Sijui sasa
Hii id Nina mpango wa kuitelekeza, maana inanikosesha wachumba/ mke hivi hivi...kila ninayo mwapproach pm hajibu msg zangu [emoji848][emoji848]Yanitisha
Ibadilishe tuu jamani, sio lazima uikimbieHii id Nina mpango wa kuitelekeza, maana inanikosesha wachumba/ mke hivi hivi...kila ninayo mwapproach pm hajibu msg zangu [emoji848][emoji848]
Sawa ntabadilisha na prof. pic naweka yangu mwenyeweIbadilishe tuu jamani, sio lazima uikimbie
Safi kabisaaSawa ntabadilisha na prof. pic naweka yangu mwenyewe
Msinikimbie bwana, mm mbona mtu mwema tuSafi kabisaa