[emoji133][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549]
Sina mood ya kutokaSasa mpenzi wangu? Weekend leo.
Ikifika Januari anaanza tena kuhesabu kuanzia 20.Aise, ukutaka kudanganya lazima uwe na kumbukumbu, mwezi wa 11 atarudi 26.
Hii kwenye betting tunaita home under 26.5
Ndo kakwambia ivyo?Amesema alishafikisha 27. So she is right kwa kuwa kuwa sasa hivi yuko 28.
Nakuomba uchumba, una sifa zote za mke mwema, unanifaa sana katika maisha [emoji8][emoji8][emoji8]Ndiwooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sitaki kuolewa kwa sasa, najiona kabisa sifiti kwenye hiko kiatu cha ndoaNakuomba uchumba, una sifa zote za mke mwema, unanifaa sana katika maisha [emoji8][emoji8][emoji8]
Usijali utakapoona unafiti nafasi ya pili(mke wa pili/mke mwenza) utaikuta ipo wazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sitaki kuolewa kwa sasa, najiona kabisa sifiti kwenye hiko kiatu cha ndoa
Niaje bro?Njoo PM sasa. Unasubiri nini mwanamke
Kaka mkubwa unachelewaaaa.Hamna Fursa yeyote hapo, kwanini unafikiria ni Fursa
Kwani jamani unapenda ID??Hiyo ID yako tuuu jamani
This is not fair[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sitaki kuolewa kwa sasa, najiona kabisa sifiti kwenye hiko kiatu cha ndoa
Hahahahahahhahahahaha hebu tulia basi, hivi unapitaga huku kutafuta niniThis is not fair
Ewaaaaa na vile napenda kuwa bi mdogo hehehehehehhe, thawaUsijali utakapoona unafiti nafasi ya pili(mke wa pili/mke mwenza) utaikuta ipo wazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usijali ngoja nimlete bi mkubwa kwanza halafu ndio tuje tuandae karamu ya kumpokea bi mdogoEwaaaaa na vile napenda kuwa bi mdogo hehehehehehhe, thawa
Wife material ndo tumetoka kwaya, uelekeo nyumbani kuandaa chakula cha jioni..
Husband material popote ulipo pokea salam zangu!