Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Haya majina yetu huwa yanauhusiano na maisha yetu!Kwani jamani unapenda ID??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya majina yetu huwa yanauhusiano na maisha yetu!Kwani jamani unapenda ID??
Hivi kuna msela wa kike mkuuSakayo nawe bado msela hadi leo?
Una CHURA?Kichwa cha habari hapo juu cha husika
Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu
Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu
Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia
Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight
Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu
Ur love Nasu Zion
Nb:Ukiwa dodoma utapewa kipaumbele
Kila la kheriUsijali ngoja nimlete bi mkubwa kwanza halafu ndio tuje tuandae karamu ya kumpokea bi mdogo
I love you crazy[emoji8][emoji8][emoji8]Kila la kheri
Ndiyo maana hatujapata GG Leo game ya mapema kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana chezea genye
Ntajifanya kama sijaona hiviHahahahahahhahahahaha hebu tulia basi, hivi unapitaga huku kutafuta nini
Hutaki cheo cha kuwa bi mkubwa???Ewaaaaa na vile napenda kuwa bi mdogo hehehehehehhe, thawa
Kuna takwimu niliziona eti wanaume wa dodoma wengi ni vichaaKichwa cha habari hapo juu cha husika
Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu
Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha, nguvu nayotumia ni kubwa mno tungekuwa wawili ngetumia nguvu kidogo tu
Nishafikisha 27, nishamaliza chuo nishapata kazi japokuwa ndoto yangu kubwa ya kuwa billionare lady haijatimia
Nasali jumapili, rangi unayoijua bado ninayo sijatumia carolight
Hubby, Karibu pm uonapo uzi huu
Ur love Nasu Zion
Nb:Ukiwa dodoma utapewa kipaumbele
Bi mkubwa hapana sitakiHutaki cheo cha kuwa bi mkubwa???
Ntajifanya kama sijaona hivi
I love you crazy[emoji8][emoji8][emoji8]
Bi mkubwa anakusalimia sana[emoji8]
Msalimie nae, mwambie nampendaBi mkubwa anakusalimia sana
Sawa bi mdogo, tunza utamu utamsaidia bi mkubwa muda ukifika[emoji85][emoji85]Msalimie nae, mwambie nampenda
Kaka mkubwa unachelewaaaa.
Fursa hiyoooo