Mume wangu, siwezi kushindana na mabinti wadogo wa mjini

Yeah wako hivyo, hawajui wanacho kitaka
 
Namshukuru sana mdingi, nilipokua mdogo alinipiga marufuku kuangalia tamthilia za kifilipino na kuniambia hizo tamthilia zimetengenezwa kwa ajili ya wanawake.
 
Mke hubaki kua mke na mchepuko utabaki kua mchepuko tu...tunagegeda tunarudi hom kulala n wake zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…