0766264446baada ya kuchoka usingle mother....Nimeona is not funny....Nahitaji mume jaman.....
08/09...Natimiza 29..Kimo f 5.5....Primary teacher...Mtoto mmoja....am blackbeauty......Mcheshi na vurugu nyinginyingi....Ha ha haaa.
Ninayemwitaji....Awe mwajiriwa...Aliyejiajiri au mfanyabiashara na mwenye uhitaji wa kuoa kweli.Umri...29...40.azidi f5.5....Anyngoz.......Akiwa anaishi...Mbeya,Iringa,morogoro...Dsm....Itakuwa kheri coz huko nauli naziwezea kipind hki cha magu.
Nina mtoto....So ukipenda ua na boga lake mpendwa.
...mwenye uhitaji wa kuoa kweli.....azidi f5.5....Anyngoz........
je unaapa kua hutajikumbushia na baba mtoto
Mkuu mtu mshort anaanzia feet ngapi kwani maana kwetu mimi niko na futi 6.7 but wananiita mshort na ni mshort kweli more than anyone in my familia?Kila anayehitaji kuolewa anataka mume mrefu. Sijui kuna siri gani hapo na sijui wafupi nyundo kama akina Harmorappa inakuaje. Kila la kheri bi dada!
Mbona aliyekuacha alipenda ua tu boga akatupa kule..!baada ya kuchoka usingle mother....Nimeona is not funny....Nahitaji mume jaman.....
08/09...Natimiza 29..Kimo f 5.5....Primary teacher...Mtoto mmoja....am blackbeauty......Mcheshi na vurugu nyinginyingi....Ha ha haaa.
Ninayemwitaji....Awe mwajiriwa...Aliyejiajiri au mfanyabiashara na mwenye uhitaji wa kuoa kweli.Umri...29...40.azidi f5.5....Anyngoz.......Akiwa anaishi...Mbeya,Iringa,morogoro...Dsm....Itakuwa kheri coz huko nauli naziwezea kipind hki cha magu.
Nina mtoto....So ukipenda ua na boga lake mpendwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu mtu mshort anaanzia feet ngapi kwani maana kwetu mimi niko na futi 6.7 but wananiita mshort na ni mshort kweli more than anyone in my familia?
lakini huyo wa 5.5ft wewe wasema tall, then nani mshort kama siyo huyu wa 5.5ft?