Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eee, enzi zetu za ujana hayakuwepo haya, kuna nyakati natamani ku rewind mambo lakini ndo hivyo tena.Hua najutia umri wangu nyakati kama hizi tu....
Njoo inbobo tuyajenge[emoji122]umekosea mkuu...Nimeandika blackbeauty nafikiri.....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wanataka wa kuwasaidia kuanika nguo juu ya Kamba.Kila anayehitaji kuolewa anataka mume mrefu. Sijui kuna siri gani hapo na sijui wafupi nyundo kama akina Harmorappa inakuaje. Kila la kheri bi dada!
Vp dini ?baada ya kuchoka usingle mother....Nimeona is not funny....Nahitaji mume jaman.....
08/09...Natimiza 29..Kimo f 5.5....Primary teacher...Mtoto mmoja....am blackbeauty......Mcheshi na vurugu nyinginyingi....Ha ha haaa.
Ninayemwitaji....Awe mwajiriwa...Aliyejiajiri au mfanyabiashara na mwenye uhitaji wa kuoa kweli.Umri...29...40.azidi f5.5....Anyngoz.......Akiwa anaishi...Mbeya,Iringa,morogoro...Dsm....Itakuwa kheri coz huko nauli naziwezea kipind hki cha magu.
Nina mtoto....So ukipenda ua na boga lake mpendwa.