Mume...your wife is calling you!

Mume...your wife is calling you!

Kakope mkopo nipe nifanye biashara
Mume umepata[emoji23][emoji23][emoji23].
Baba wa mtoto yupo hai au amefariki..


NB:mke wa mtu ni sumu
 
najipunguzaje kaka? ndo my age hiyo
 
Kakope mkopo nipe nifanye biashara
Mume umepata[emoji23][emoji23][emoji23].
Baba wa mtoto yupo hai au amefariki..


NB:mke wa mtu ni sumu
ha ha haaaa....Mkuu umetisha aiseee...Afariki???
 
which-celebrity-shares-your-height-2-8112-1450274560-6_dblbig.jpg

F 5.5 Ngoja narudi...
we ndo uko sawa kabisaaa
 
nimependa vurugu nyingnyingi ila bahati mbaya siishi kwenye mikoa tajwa
 
hongera zako b'dada, but umekuja kwa mkwara balaa, lakini umeeleweka ni nini unacho na jinsi ulivyoo, anyway , waalimu huwanga na mapenzi ya dhati na hupenda kama anavyopenda student wake
 
baada ya kuchoka usingle mother....Nimeona is not funny....Nahitaji mume jaman.....

08/09...Natimiza 29..Kimo f 5.5....Primary teacher...Mtoto mmoja....am blackbeauty......Mcheshi na vurugu nyinginyingi....Ha ha haaa.
Ninayemwitaji....Awe mwajiriwa...Aliyejiajiri au mfanyabiashara na mwenye uhitaji wa kuoa kweli.Umri...29...40.azidi f5.5....Anyngoz.......Akiwa anaishi...Mbeya,Iringa,morogoro...Dsm....Itakuwa kheri coz huko nauli naziwezea kipind hki cha magu.

Nina mtoto....So ukipenda ua na boga lake mpendwa.
Sifa zote hizo ninazo + 1

Na mie nina mtoto... Utakubali
 
Mimi nimekidhi vigezo na masharti kasoro kimoja umri(age is just a number)naomba nafasi mtoto nitamtunza kama blood yangu
 
Back
Top Bottom